Shauri:I am a OKAY.
Shauri:I am a OKAY.
mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...
penda unapopendwa kaka usiwe tayari kumuoa mtu anayekuchukulia kama second best kny choice zake!
tafuta mdada mwingine atakayekupenda wholy!
mwambie plan zako kuwa unatafuta msichana kwa sasa,na ukimpata mtambulishe yeye kama best friend wako...
huyu dada anakasirika na anakuwa na wivu kwa sababu anafeel threatened position yake kwako,ikiwa utamshirikisha ktk process nzima ya kutafuta galfriend kuanzia unamsaka mpk unampata itampelekea yeye ahisi kuwa involved,na hivyo kumfanya afeel secured na position yake kwako.....
lastly,hata hivyo viwanja mshirikishe muwe mnatoka wote watatu....trust me akiendelea kununa mpotezee!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::mullet:
Please usiwe unapotea sana....i real like/enjoy reading your opinions.....you are smart!!!
Nimekuwa mvumilivu sana lakini sasa naelekea kuchoka,nahitaji mbinu mpya!!
Mkuu nimemuonyesha dalili zote kuwa namtaka awe zaidi ya gf na hata tulivyokutana baada ya kimya cha muda mrefu mada kuu ilikuwa ndiyo hiyo,lakini wapi mkuu haeleweki.Na anachonichosha zaidi ni ku 'act' kwake kama mpenzi wangu wakati kiuhalisia hatuko pamoja kama couple.
Umesema kitu ambacho sijawahi kufikiria.Sijawahi kumuulizia kwa undani kuhusu mahusiano yake ya mwanzo,nikidhani kwamba si muhimu na naweza kuharibu na mwenyewe hajawahi kunisimulia kwa undani.Labda nianze?
Michelle,Likewise I enjoy reading your opinions too..........................ila as u can see Im a newbie so I kind have to tread in slowly, nisije nikachemka nikachanwa, kama kwenye sread ya "mama mdogo,and the fiancee" lol !!!
Huenda ana mtu ameshaahidiana nae kitambo hivyo upo kama plan B, au huenda ana ngoma anaogopa atakuambukiza ama utamshauri kupima hivyo akakukosa kimoja. Hebu mshauri mwende HIV Test akikubali basi jua wewe ni Plan B!
No offense, but Could it be maybe you are her Plan B :wink2:???
She is holding out, hoping to meet and/or get with Mr plan A, lakini mean while is hanging onto you just in case Plan A doesnt materialize!?
So, nafikiri jambo zuri ukimtafuta ata best yako wa karibu akae naye amweleze unavyojifili au rafiki yake,
mh pole sana bro kwa kuandika hii thread ukiwa na hisia kali moyoni mwako,nimesoma huu ujumbe kwa makini sana,huyu manzi umesema una miaka miwili ukiwa naye,labda nikuulize kijiswali,hujawahi kumuomba chezo? na je kama ulimuomba alisemaje?
kwa maoni yangu mimi kama hana mwitikio kwako,hisia,basi wewe una maamuzi yako.hebu mchunguze tena kwa mara ya mwisho kama unaona haelewi somo na wewe umeshampa ukweli basi kula kona hamna haja ya kupoteza muda wako bwana,tafuta mwingine ambaye atakupenda kwa dhati,haya mapenzi ukicheza unaweza kuwehuka bure na ukashindwa kutekeleza majukumau yako ya kila siku bro.
ni hayo tu:rain::rain:
Sema naye mpaka kieleweke!
have the same thinking......inawezekana jamaa anafanywa plan B aisee
lakini pia kwa nini Mhubiri usimhubirie kwamba unataka kumwoa kabisa na sio kumwonja tu?
Haiwezekani akuzungushe kihvyo! Huyo atakuwa na tatizo mchunguze ki intelgensia, asijekuwa huko chni kuna kasoro au ana zote 2 (ke na me)
She is jelous because, "Who is to say , that wewe and your new squeeze wont end up being forever?" U having someone else means you are definately no longer available. Kaput fall back option gone! So now not only does she lack Plan A, but Plan B is gone as well.
I, personally most of guys I have had in a situation similar to yours......ni wale that I can almost date if only they had this or that, or I could change this or that behaviour
Huenda ana mtu ameshaahidiana nae kitambo hivyo upo kama plan B, au huenda ana ngoma anaogopa atakuambukiza ama utamshauri kupima hivyo akakukosa kimoja. Hebu mshauri mwende HIV Test akikubali basi jua wewe ni Plan B!
Ni ngumu kutuelewa wanawake sometimes..... baadhi yetu tuna wivu wa ajabu hata kwa vile tusivyovitaka.....nakushauri tafuta muda zungumza nae kimoja,mwambie unataka kuelewa msimamo wake wa mwisho.....na heshimu maamuzi yake as in kile atakacho kisema.....akikataa mpotezee mazima,tulishapenda sana tusikopendwa bwana na maisha yakaendelea tu.....utakutana na mwingine jiweke kwanza huru kwa nafsi na kubali matokeo.....usiwe mtu wa kutegemea miujiza,unapoteza tu muda wako....yupo atakayekupenda hadi ujiulize alikuwa wapi....tulia!!
kila ukiona haumuelewi mwanamke basi ujue ndio unamuelewa. ongeza bidii kaka
mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...
penda unapopendwa kaka usiwe tayari kumuoa mtu anayekuchukulia kama second best kny choice zake!
tafuta mdada mwingine atakayekupenda wholy!
mwambie plan zako kuwa unatafuta msichana kwa sasa,na ukimpata mtambulishe yeye kama best friend wako...
huyu dada anakasirika na anakuwa na wivu kwa sababu anafeel threatened position yake kwako,ikiwa utamshirikisha ktk process nzima ya kutafuta galfriend kuanzia unamsaka mpk unampata itampelekea yeye ahisi kuwa involved,na hivyo kumfanya afeel secured na position yake kwako.....
lastly,hata hivyo viwanja mshirikishe muwe mnatoka wote watatu....trust me akiendelea kununa mpotezee!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::mullet:
[/COLOR]
OOOOOH LOVE, LOVE, LOVE. Every one talks about it but none knows what is it.
Hiyo si kushauri kwa sababu mbili: Kwanza unaweza kupata jawabu usiyoipenda na baadaye siku za mbele ukaitumia hiyo kama reference. Pili si wote wako tayari kuzungumza uhusiano wao uliopita. Unaweza ukamuudhi.
Nikirudi kwenye mada kuu, pengine anaweza kuwa yuko "serious", anakupenda kama rafiki, kama kaka na anakasirika anapokuona na mwengine kwa sababu ya wivu kuwa kuna mtu anachukua nafasi yake. Labda muulize kwa nini hataki uhusiano na wewe lakini ananuna, "hakuruhusu" kuwa na uhusiano na mwengine.
Zungumzeni, ni kwa kuzungumza tu watu huelewana, na wala sio kumwonesha kuwa kama yeye hakutaki wengine wanakutaka.
Jambo ambalo ningekushauri usifanye ikiwa bado unamtaka, ni kuwacha hiyo tabia ya mademu wengine mpaka hapo utakapojua moja.
Kila la heri.
Mkuu muhubiri pole sana kwanza, najua mtihani unaopata na ndio jinsi mapenzi yalivyo. Itategemea na mda wako uliokuwa nao wa kusubiri mpaka upate jibu kamili utakalo ridhika nalo wewe. Mpaka sasa naona ujaridhika bado na jibu lake na kuna vitu vinakufanya ufikirie kuna siku utapata jibu ambalo unataka kulisikia.
Kipindi hiki chote mnachofahamiana hujawahi kumuona na mtu mwingine wala kumsikia akimtaja mtu mwingine kwenye mazungumzo yenu?
Kwa vile huwa mna flirt mara nyingi,je wakati mko pamoja mna flirt ushawahi kujaribu kuvuka mpaka kwa vitendo kumsikilizia reaction yake au kila saa umekua ukijaribu kumtongoza tu?
Kuwa na wivu hio sio tatizo , anaweza kuwa na wivu kwa vile anaona kuwa hutakuwa na mda wa kupoteza nae kumpa hio company anayotaka kutoka kwako.
Act like a man. Stop clinging on her. Two years and you're still hitting on her? Move on bro. Be a man. Another piece if advise: kama mpaka sasa hivi hujamwelewa, then hutamwelewa hata kama ikimwoa. Move on man.
Mhubiri wewe ndio haueleweki ukimfukuzia huyu dada unaendelea kutoka na wengine,ni vigumu yeye kukuamini hebu tulia kwake kwa muda atakuamini na kukukubali.Anakasirika kwakuwa anakupenda hilo hawezi kuigiza.
Wewe kuwa king'ang'anizi wa kumuomba uhusiano nae mpaka kieleweke,muambie kitaani na marafiki zako wote wanajua ya kuwa nyie ni wapenzi hivyo basi hakuna atakayekubali ya kwamba ndani ya miaka mi2 hujamtenda.
No offense, but Could it be maybe you are her Plan B :wink2:???
She is holding out, hoping to meet and/or get with Mr plan A, lakini mean while is hanging onto you just in case Plan A doesnt materialize!?
She is jelous because, "Who is to say , that wewe and your new squeeze wont end up being forever?" U having someone else means you are definately no longer available. Kaput fall back option gone! So now not only does she lack Plan A, but Plan B is gone as well.
I, personally most of guys I have had in a situation similar to yours......ni wale that I can almost date if only they had this or that, or I could change this or that behaviour
Ni ngumu kutuelewa wanawake sometimes..... baadhi yetu tuna wivu wa ajabu hata kwa vile tusivyovitaka.....nakushauri tafuta muda zungumza nae kimoja,mwambie unataka kuelewa msimamo wake wa mwisho.....
mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...