Huyu Dada Simuelewi.Nisaidieni JF...

Huenda ana mtu ameshaahidiana nae kitambo hivyo upo kama plan B, au huenda ana ngoma anaogopa atakuambukiza ama utamshauri kupima hivyo akakukosa kimoja. Hebu mshauri mwende HIV Test akikubali basi jua wewe ni Plan B!
 
Ni ngumu kutuelewa wanawake sometimes..... baadhi yetu tuna wivu wa ajabu hata kwa vile tusivyovitaka.....nakushauri tafuta muda zungumza nae kimoja,mwambie unataka kuelewa msimamo wake wa mwisho.....na heshimu maamuzi yake as in kile atakacho kisema.....akikataa mpotezee mazima,tulishapenda sana tusikopendwa bwana na maisha yakaendelea tu.....utakutana na mwingine jiweke kwanza huru kwa nafsi na kubali matokeo.....usiwe mtu wa kutegemea miujiza,unapoteza tu muda wako....yupo atakayekupenda hadi ujiulize alikuwa wapi....tulia!!
 
mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...
penda unapopendwa kaka usiwe tayari kumuoa mtu anayekuchukulia kama second best kny choice zake!
tafuta mdada mwingine atakayekupenda wholy!
mwambie plan zako kuwa unatafuta msichana kwa sasa,na ukimpata mtambulishe yeye kama best friend wako...
huyu dada anakasirika na anakuwa na wivu kwa sababu anafeel threatened position yake kwako,ikiwa utamshirikisha ktk process nzima ya kutafuta galfriend kuanzia unamsaka mpk unampata itampelekea yeye ahisi kuwa involved,na hivyo kumfanya afeel secured na position yake kwako.....
lastly,hata hivyo viwanja mshirikishe muwe mnatoka wote watatu....trust me akiendelea kununa mpotezee!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::mullet:
 
nimeipenda hii.

:A S 13:

mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...
penda unapopendwa kaka usiwe tayari kumuoa mtu anayekuchukulia kama second best kny choice zake!
tafuta mdada mwingine atakayekupenda wholy!
mwambie plan zako kuwa unatafuta msichana kwa sasa,na ukimpata mtambulishe yeye kama best friend wako...
huyu dada anakasirika na anakuwa na wivu kwa sababu anafeel threatened position yake kwako,ikiwa utamshirikisha ktk process nzima ya kutafuta galfriend kuanzia unamsaka mpk unampata itampelekea yeye ahisi kuwa involved,na hivyo kumfanya afeel secured na position yake kwako.....
lastly,hata hivyo viwanja mshirikishe muwe mnatoka wote watatu....trust me akiendelea kununa mpotezee!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::mullet:
 
Please usiwe unapotea sana....i real like/enjoy reading your opinions.....you are smart!!!

Michelle,Likewise I enjoy reading your opinions too..........................ila as u can see Im a newbie so I kind have to tread in slowly, nisije nikachemka nikachanwa, kama kwenye sread ya "mama mdogo,and the fiancee" lol !!!
 
Nimekuwa mvumilivu sana lakini sasa naelekea kuchoka,nahitaji mbinu mpya!!



Mkuu nimemuonyesha dalili zote kuwa namtaka awe zaidi ya gf na hata tulivyokutana baada ya kimya cha muda mrefu mada kuu ilikuwa ndiyo hiyo,lakini wapi mkuu haeleweki.Na anachonichosha zaidi ni ku 'act' kwake kama mpenzi wangu wakati kiuhalisia hatuko pamoja kama couple.





Umesema kitu ambacho sijawahi kufikiria.Sijawahi kumuulizia kwa undani kuhusu mahusiano yake ya mwanzo,nikidhani kwamba si muhimu na naweza kuharibu na mwenyewe hajawahi kunisimulia kwa undani.Labda nianze?

OOOOOH LOVE, LOVE, LOVE. Every one talks about it but none knows what is it.

Hiyo si kushauri kwa sababu mbili: Kwanza unaweza kupata jawabu usiyoipenda na baadaye siku za mbele ukaitumia hiyo kama reference. Pili si wote wako tayari kuzungumza uhusiano wao uliopita. Unaweza ukamuudhi.

Nikirudi kwenye mada kuu, pengine anaweza kuwa yuko "serious", anakupenda kama rafiki, kama kaka na anakasirika anapokuona na mwengine kwa sababu ya wivu kuwa kuna mtu anachukua nafasi yake. Labda muulize kwa nini hataki uhusiano na wewe lakini ananuna, "hakuruhusu" kuwa na uhusiano na mwengine.

Zungumzeni, ni kwa kuzungumza tu watu huelewana, na wala sio kumwonesha kuwa kama yeye hakutaki wengine wanakutaka.
Jambo ambalo ningekushauri usifanye ikiwa bado unamtaka, ni kuwacha hiyo tabia ya mademu wengine mpaka hapo utakapojua moja.

Kila la heri.
 
Mkuu muhubiri pole sana kwanza, najua mtihani unaopata na ndio jinsi mapenzi yalivyo. Itategemea na mda wako uliokuwa nao wa kusubiri mpaka upate jibu kamili utakalo ridhika nalo wewe. Mpaka sasa naona ujaridhika bado na jibu lake na kuna vitu vinakufanya ufikirie kuna siku utapata jibu ambalo unataka kulisikia.


Kipindi hiki chote mnachofahamiana hujawahi kumuona na mtu mwingine wala kumsikia akimtaja mtu mwingine kwenye mazungumzo yenu?

Kwa vile huwa mna flirt mara nyingi,je wakati mko pamoja mna flirt ushawahi kujaribu kuvuka mpaka kwa vitendo kumsikilizia reaction yake au kila saa umekua ukijaribu kumtongoza tu?


Kuwa na wivu hio sio tatizo , anaweza kuwa na wivu kwa vile anaona kuwa hutakuwa na mda wa kupoteza nae kumpa hio company anayotaka kutoka kwako.
 
Michelle,Likewise I enjoy reading your opinions too..........................ila as u can see Im a newbie so I kind have to tread in slowly, nisije nikachemka nikachanwa, kama kwenye sread ya "mama mdogo,and the fiancee" lol !!!

Nemo,here is where we dare to talk openly, be free while respecting the rules(its hard sometimes...tolerance is crucial)...

MMU is blessed to have you.......enjoy!!
 
Act like a man. Stop clinging on her. Two years and you're still hitting on her? Move on bro. Be a man. Another piece if advise: kama mpaka sasa hivi hujamwelewa, then hutamwelewa hata kama ikimwoa. Move on man.
 
Mhubiri wewe ndio haueleweki ukimfukuzia huyu dada unaendelea kutoka na wengine,ni vigumu yeye kukuamini hebu tulia kwake kwa muda atakuamini na kukukubali.Anakasirika kwakuwa anakupenda hilo hawezi kuigiza.
 
Huenda ana mtu ameshaahidiana nae kitambo hivyo upo kama plan B, au huenda ana ngoma anaogopa atakuambukiza ama utamshauri kupima hivyo akakukosa kimoja. Hebu mshauri mwende HIV Test akikubali basi jua wewe ni Plan B!

Aisee, una machale wewe kama sheikh Yahya!!, na hilo ndio jibu sahihi kabisa
 
No offense, but Could it be maybe you are her Plan B :wink2:???

She is holding out, hoping to meet and/or get with Mr plan A, lakini mean while is hanging onto you just in case Plan A doesnt materialize!?

Aisee kumbe huwa inawezekana kua -hivo....sijawahi kufikiria!! inauma kama ndo hivo....
 
Wewe kuwa king'ang'anizi wa kumuomba uhusiano nae mpaka kieleweke,muambie kitaani na marafiki zako wote wanajua ya kuwa nyie ni wapenzi hivyo basi hakuna atakayekubali ya kwamba ndani ya miaka mi2 hujamtenda.
 
So, nafikiri jambo zuri ukimtafuta ata best yako wa karibu akae naye amweleze unavyojifili au rafiki yake,

Mkuu hiyo option naona nitajidhalilisha zaidi,ndiyo maana nimeileta hii inshu hapa JF.Naamini nitapata muafaka kwani kwani kuna wakulu tayari wameshachangia as if yalishawakuta au wanaijua inshu yangu from a-z!

mh pole sana bro kwa kuandika hii thread ukiwa na hisia kali moyoni mwako,nimesoma huu ujumbe kwa makini sana,huyu manzi umesema una miaka miwili ukiwa naye,labda nikuulize kijiswali,hujawahi kumuomba chezo? na je kama ulimuomba alisemaje?
kwa maoni yangu mimi kama hana mwitikio kwako,hisia,basi wewe una maamuzi yako.hebu mchunguze tena kwa mara ya mwisho kama unaona haelewi somo na wewe umeshampa ukweli basi kula kona hamna haja ya kupoteza muda wako bwana,tafuta mwingine ambaye atakupenda kwa dhati,haya mapenzi ukicheza unaweza kuwehuka bure na ukashindwa kutekeleza majukumau yako ya kila siku bro.
ni hayo tu:rain::rain:


Kujibu swali lako mkuu ni kweli ni karibu miaka miwili sasa namtongoza huyu manzi.Unajua kila manzi yuko tofauti na si wa kumwambia moja kwa moja kuwa nataka chezo.Mwenyewe kwa jinsi ninavyomuelewa ni wale mademu wa kwenda date halafu mambo mengine kama kwenda bed yatafuata naturally.Huwa ananiruhusu nimshike na nikiwa naye club kwa mfano huwa nabambia sana tu,na huwa ana behave kama demu wangu,isipokuwa hajawahi kuniruhusu kula mate hata siku moja,na hapa ndipo penye tatizo kwani kwa uzoefu wangu,nikishakulana mate na demu tu basi in the next few meetings lazima kitaeleweka!
Kuhusu maoni yako ya kumpotezea,nakubaliana nawe.Nimeamua kumsikilizia,akirudi tena anga zangu itakuwa ndiyo mara yangu ya mwisho kumfuatilia,na nitampa ukweli tu kwamba hata huo urafiki/ukaka siutaki tena,tusitafutane na kila mtu achukue time zake!
Sema naye mpaka kieleweke!

Nitajaribu kwa mara ya mwisho mkuu,akizingua safari hii sitamrudia tena!

have the same thinking......inawezekana jamaa anafanywa plan B aisee

lakini pia kwa nini Mhubiri usimhubirie kwamba unataka kumwoa kabisa na sio kumwonja tu?

Mkuu nimeshamuhubiria sana kuhusu uhusiano wa kudumu.Huwa anaonyesha interest kishenzi lakini mwishowe ataendelea na maneno yake yaleyale.

Haiwezekani akuzungushe kihvyo! Huyo atakuwa na tatizo mchunguze ki intelgensia, asijekuwa huko chni kuna kasoro au ana zote 2 (ke na me)

inawezekana ni shemale/maji mengi/haina shavu moja??nisaidie mbinu za kumchunguza mkuu hata kwa pm!

She is jelous because, "Who is to say , that wewe and your new squeeze wont end up being forever?" U having someone else means you are definately no longer available. Kaput fall back option gone! So now not only does she lack Plan A, but Plan B is gone as well.

I, personally most of guys I have had in a situation similar to yours......ni wale that I can almost date if only they had this or that, or I could change this or that behaviour

What ur saying can be true cos everybody got their own standards when choosing their second half.But if that is the case,why then she is doing me all these nonsense if im not all that for her?U meet ur brother while dressing up erotically?U write/talk to ur brother romantic and titillating words?She could just come out and tell me straight up that she doesnt like me and not giving me some hopes as she is doing.!She should be abnormal somewhere then for wasting her time acting like couple with somebody she doesnt like much and expecting at the same time to find her Mr.right,cos time is not going back and she is already 28 now!
 
Huenda ana mtu ameshaahidiana nae kitambo hivyo upo kama plan B, au huenda ana ngoma anaogopa atakuambukiza ama utamshauri kupima hivyo akakukosa kimoja. Hebu mshauri mwende HIV Test akikubali basi jua wewe ni Plan B!

Shukrani mkuu,nitajaribu kumchomekea kuhusu swala zima la HIV na kama yuko tayari siku moja kwenda kupima na 'to be' wake,nione response yake!

Ni ngumu kutuelewa wanawake sometimes..... baadhi yetu tuna wivu wa ajabu hata kwa vile tusivyovitaka.....nakushauri tafuta muda zungumza nae kimoja,mwambie unataka kuelewa msimamo wake wa mwisho.....na heshimu maamuzi yake as in kile atakacho kisema.....akikataa mpotezee mazima,tulishapenda sana tusikopendwa bwana na maisha yakaendelea tu.....utakutana na mwingine jiweke kwanza huru kwa nafsi na kubali matokeo.....usiwe mtu wa kutegemea miujiza,unapoteza tu muda wako....yupo atakayekupenda hadi ujiulize alikuwa wapi....tulia!!

Shukrani Mkuu nimekuelewa vizuri na nitafanya kama ulivyonishauri

kila ukiona haumuelewi mwanamke basi ujue ndio unamuelewa. ongeza bidii kaka

Mkuu kloro nitakaza lakini this time is last,na akileta gozi basi sitamrudia tena!

mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...
penda unapopendwa kaka usiwe tayari kumuoa mtu anayekuchukulia kama second best kny choice zake!
tafuta mdada mwingine atakayekupenda wholy!
mwambie plan zako kuwa unatafuta msichana kwa sasa,na ukimpata mtambulishe yeye kama best friend wako...
huyu dada anakasirika na anakuwa na wivu kwa sababu anafeel threatened position yake kwako,ikiwa utamshirikisha ktk process nzima ya kutafuta galfriend kuanzia unamsaka mpk unampata itampelekea yeye ahisi kuwa involved,na hivyo kumfanya afeel secured na position yake kwako.....
lastly,hata hivyo viwanja mshirikishe muwe mnatoka wote watatu....trust me akiendelea kununa mpotezee!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::mullet:

Asante dada,inawezekana kweli ananipenda tu kama kaka na anipendi kama mwanaume.Kama ulivyosema safari hii nitamchukulia kwa umakini sana na hata kama atanikubali,swala la kumuoa halitakuwa la mara moja.Na mimi nitamringia na nitamuweka kiporo kwanza!!
Kuhusu kumshirikisha kutafuta msichana mwingine au kutoka watatu naona haitasaidia sana.Huwa akinuna kama hivi na tusipowasiliana kwa muda mrefu kwani ni yeye ndiye huwa wakwanza kuniandikia jumbe tena ukizisoma katikati ya mistari waweza fikiri kuwa na mtu anamuandikia mpenzi wake.
Kifupi sitamshirikisha na nikikutana nae safari hii kisipoeleweka ndiyo itakuwa mwisho wa mimi na yeye na nitamwambia wazi kuwa sitaki kabisa niwe rafiki wala kaka yake na tusitafutane tena.

[/COLOR]
OOOOOH LOVE, LOVE, LOVE. Every one talks about it but none knows what is it.

Hiyo si kushauri kwa sababu mbili: Kwanza unaweza kupata jawabu usiyoipenda na baadaye siku za mbele ukaitumia hiyo kama reference. Pili si wote wako tayari kuzungumza uhusiano wao uliopita. Unaweza ukamuudhi.

Nikirudi kwenye mada kuu, pengine anaweza kuwa yuko "serious", anakupenda kama rafiki, kama kaka na anakasirika anapokuona na mwengine kwa sababu ya wivu kuwa kuna mtu anachukua nafasi yake. Labda muulize kwa nini hataki uhusiano na wewe lakini ananuna, "hakuruhusu" kuwa na uhusiano na mwengine.

Zungumzeni, ni kwa kuzungumza tu watu huelewana, na wala sio kumwonesha kuwa kama yeye hakutaki wengine wanakutaka.
Jambo ambalo ningekushauri usifanye ikiwa bado unamtaka, ni kuwacha hiyo tabia ya mademu wengine mpaka hapo utakapojua moja.

Kila la heri.

Nimekuelewa sana broda!

Mkuu muhubiri pole sana kwanza, najua mtihani unaopata na ndio jinsi mapenzi yalivyo. Itategemea na mda wako uliokuwa nao wa kusubiri mpaka upate jibu kamili utakalo ridhika nalo wewe. Mpaka sasa naona ujaridhika bado na jibu lake na kuna vitu vinakufanya ufikirie kuna siku utapata jibu ambalo unataka kulisikia.


Kipindi hiki chote mnachofahamiana hujawahi kumuona na mtu mwingine wala kumsikia akimtaja mtu mwingine kwenye mazungumzo yenu?

Kwa vile huwa mna flirt mara nyingi,je wakati mko pamoja mna flirt ushawahi kujaribu kuvuka mpaka kwa vitendo kumsikilizia reaction yake au kila saa umekua ukijaribu kumtongoza tu?
Kuwa na wivu hio sio tatizo , anaweza kuwa na wivu kwa vile anaona kuwa hutakuwa na mda wa kupoteza nae kumpa hio company anayotaka kutoka kwako.

Mkuu Wenger asante sana kwa mawazo yako.Kifupi huyu demu mcharuko yaani simuelewi kabisaa nini anachotaka kutoka kwangu manake hata huo urafiki na ukaka anaousema ni wa mdomoni tu lakini matendo yake hayafanani kabisaa.Nimeendelea kumfuatilia na kutegemea jibu zuri kwa sababu mwenyewe ananionyesha dalili hizo lakini majibu yake utata mtupu.
Kusema ukweli nikiwa naye hasa club huwa namshika sana,isipokuwa hajawahi kunirihusu kula mate japo nimejitahidi sana kumshawishi.Binafsi sijawahi kumuona na mtu mwingine na tunaishi mbalimbali kidogo.Kipindi chote nachowasiliana nae huwa nikitaka kukutana naye,sipati shida.Nampigia au namuandikia na siku nitayopanga(mara nyingi weekend) huwa aikatai.Isipokuwa sijui schedule yake ilikuwaje kipindi chote tulipokuwa hatuwasiliani.
Kuhusu swala la wivu,inawezekana uko sawa hapo.

Act like a man. Stop clinging on her. Two years and you're still hitting on her? Move on bro. Be a man. Another piece if advise: kama mpaka sasa hivi hujamwelewa, then hutamwelewa hata kama ikimwoa. Move on man.

Its not easy as u suggest mkuu hayajakukuta haya labda!!


Mhubiri wewe ndio haueleweki ukimfukuzia huyu dada unaendelea kutoka na wengine,ni vigumu yeye kukuamini hebu tulia kwake kwa muda atakuamini na kukukubali.Anakasirika kwakuwa anakupenda hilo hawezi kuigiza.

Mkuu;je wewe unaweza kukaa aka mbili unafukuzia demu,hakupi na ukaendelea tu bila kutafuta kwingine uchakachue?

Wewe kuwa king'ang'anizi wa kumuomba uhusiano nae mpaka kieleweke,muambie kitaani na marafiki zako wote wanajua ya kuwa nyie ni wapenzi hivyo basi hakuna atakayekubali ya kwamba ndani ya miaka mi2 hujamtenda.

shukrani mazee,nitakomaa nae kibingwa lakini kwa mara ya mwisho sasa!
 
No offense, but Could it be maybe you are her Plan B :wink2:???

She is holding out, hoping to meet and/or get with Mr plan A, lakini mean while is hanging onto you just in case Plan A doesnt materialize!?

She is jelous because, "Who is to say , that wewe and your new squeeze wont end up being forever?" U having someone else means you are definately no longer available. Kaput fall back option gone! So now not only does she lack Plan A, but Plan B is gone as well.

I, personally most of guys I have had in a situation similar to yours......ni wale that I can almost date if only they had this or that, or I could change this or that behaviour

Ni ngumu kutuelewa wanawake sometimes..... baadhi yetu tuna wivu wa ajabu hata kwa vile tusivyovitaka.....nakushauri tafuta muda zungumza nae kimoja,mwambie unataka kuelewa msimamo wake wa mwisho.....

mnh pole nahisi kakuweka pending,akikosa anayemtaka ndio akuchukue wewe....
hajakupenda sana upo kama second choice yake,solusheni na wewe usimpende kwa sana mweke second best na yeye...

Na mimi nimejifunza kitu hapa..:decision:
 
Back
Top Bottom