Huyu dada nimueleweje?

Huyu dada nimueleweje?

Hapana boss Kuna mpangaji wetu ilisha wahi kumyokea hii.nae tulijua kibamia.kumbe sio dunia imebadilika Sana mzee Wala usife moyo.

Huyo mwanamke alikuja kwa jamaa kumbe shida ilikua ni mtoto so mwanamke aliona mbegu za jamaa ni nzuri vitoto vitatoka vizuri na vitafanania na mme wake Alie muoa. Tulikuja kujua hilo baadae Sana alipo kuja kumtafuta jamaa ampe mimba nyingine
 
Hapana boss Kuna mpangaji wetu ilisha wahi kumyokea hii.nae tulijua kibamia.kumbe sio dunia imebadilika Sana mzee Wala usife moyo.

Huyo mwanamke alikuja kwa jamaa kumbe shida ilikua ni mtoto so mwanamke aliona mbegu za jamaa ni nzuri vitoto vitatoka vizuri na vitafanania na mme wake Alie muoa. Tulikuja kujua hilo baadae Sana alipo kuja kumtafuta jamaa ampe mimba nyingine
😊😊mkuu angalau umenitia moyo
 
Duuh....! Watu mna roho ngumu elfu 5 demu miezi mitatu kwelii?. Hata kama ni ubahiri si kwa kiwango hicho. Halafu baadae muanze kuwalaumu mademu kweli?
 
Duuh....! Watu mna roho ngumu elfu 5 demu miezi mitatu kwelii?. Hata kama ni ubahiri si kwa kiwango hicho. Halafu baadae muanze kuwalaumu mademu kweli?
Mkuu wewe ungempa ngapi?
 
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.

Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.

Nimueleweje?
Mkuu nenda kapime
 
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.

Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.

Nimueleweje?
Alitaka laki 2
 
Mimi ni bahili ila wewe umenizidi.

Buku tano?

Bora usingempa kabisa.
 
Hajaku unbreak mpaka mwaka huu utakua kujamfikisha kwenye kona
 
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.

Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.

Nimueleweje?
Yaani umkwangue mtoto wa watu halafu unamwachia 5,000/,tu??.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom