Inawezeka show umeipiga kitajiri sana, mechi za majaribio hizo ndio hivyo umeishafeli interview tayari.Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.
Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-b-iwa, Simu na WhatsApp.
Nimueleweje?
Mkuu mechi ilikuwa ya kibabe saana, na ndiyo maana slikubali kuja awamu ya piliInawezeka show umeipiga kitajiri sana, mechi za majaribio hizo ndio hivyo umeishafeli interview tayari.
Ndio manake,amekuona huna maana...lkn ushat0mba aende tu..huna cha kupotezaKwa Nini fabinyo?kwa hiyo hapo kaniona Mimi bahili?au ndio nishaachwa😂
Kwani mnauza?Sasa elfu 5 ulimpa ya nini?? Bora usingempa kabisa. Elfu 5 hata mimi nakublock
Amu wewe unasemaje kwenye hili?kosa langu Ni lipi?Uzuri wanaume wenzio wanakusuuza.
Shida si buku 5 shida umjinga.
Kaka ebu tumia akili bhasi...!! Hivi mwanamke amekwambia ana shida hukumpa hata miaa...tena ukute alikudanganya hata hela ya kulaa alikuwa hanaa... DUDU SIO SOLUTION YA SHIDA ZAKE NDUGU YANGU alikuletea upunguze genyee lakini shida zake sio kwamba zimeishaa.Amu wewe unasemaje kwenye hili?kosa langu Ni lipi?
Rikiboy usinichukulie vibaya ,na yeye alitakiwa tu kuelewa kwa Sasa Sina, yeye alivyoikataa pesa yangu,unadhani Mimi nimemuelewaje, kwamba amedharau Ni ndogo Sana au?inatakiwa ashukuru ata kwa kidogoKaka ebu tumia akili bhasi...!! Hivi mwanamke amekwambia ana shida hukumpa hata miaa...tena ukute alikudanganya hata hela ya kulaa alikuwa hanaa... DUDU SIO SOLUTION YA SHIDA ZAKE NDUGU YANGU alikuletea upunguze genyee lakini shida zake sio kwamba zimeishaa.
Bhasi kimsingi inabdi upate ambae atakuelewa maana yeye ameshindwa mkuu na huo ndio ukweli.. Mwanamke kumvumilia mwanaume mwenye shida yataka moyoo sana ndo maana wanaume wengi wapo single sio kwamba wanapendaa..!! So achana nae shukuru amekupunguzia mzigooo utapata atakaekuelewa na hali yako mtaishi fresh tu ila USIMLAUMU.Rikiboy usinichukulie vibaya ,na yeye alitakiwa tu kuelewa kwa Sasa Sina, yeye alivyoikataa pesa yangu,unadhani Mimi nimemuelewaje, kwamba amedharau Ni ndogo Sana au?inatakiwa ashukuru ata kwa kidogo
Wakiomba hela mnawasema vibaya, wakikataa mnakuwa na wasiwasi. Sasa mnataka nini?Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.
Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-b-iwa, Simu na WhatsApp.
Nimueleweje?
ShukraniBhasi kimsingi inabdi upate ambae atakuelewa maana yeye ameshindwa mkuu na huo ndio ukweli.. Mwanamke kumvumilia mwanaume mwenye shida yataka moyoo sana ndo maana wanaume wengi wapo single sio kwamba wanapendaa..!! So achana nae shukuru amekupunguzia mzigooo utapata atakaekuelewa na hali yako mtaishi fresh tu ila USIMLAUMU.
This is your arena together With your colleagues.Unamlala mtu kwa miezi mitatu kisha unataka umpe buku tano?
Wakiomba hela mnawasema vibaya, wakikataa mnakuwa na wasiwasi. Sasa mnataka nini?
[/QU
Atakataaje nauli wakati alisema ana shida?Mimi nadhani ameidharau tu