Tulipima mwanzon mwa uhusiano na tuko vizuri woteBoss mlipima?
Hiyo elfu tano ndo imekuponza
elewa kuwa hataki mawasiliano tena na wewe .
Usiku kucha elfu 5??? Kweli???![]()
Naona mnavyo isakama buku dasi utadhani sio prsa halali ya Tz....




Shoo ilikuwa vizur ata yeye alikiri hivyooNaona mnavyo isakama buku dasi utadhani sio prsa halali ya Tz....
Minahisi kijana aliunderpefom kwanye game....![]()
Kuna kujiongeza mkuu, huyu ni demu wake wa miezi kadhaa na hajawahi kumtoakwani wameuziana boss? Bado namuona jamaa yuko sawa.
nyie ndio mnaojipendekeza kwa mademu kwa pesa
La kiume, Tena la kihindiranjan ni jina la kike
Kaka yangu anadate na msichana mchanganyiko wa muhindi na mnyakyusa. Anaitwa Ranjan.La kiume, Tena la kihindi
Kipi icho mkuu, embu nidadavulie Niko njia panda.Kuna kitu hakikuwa sawa
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.
Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.
Nimueleweje?
😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
Umevutua nguo Mkuu,hata kama ni ubaharia we umezidi.😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?
😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
Kwa Nini fabinyo?kwa hiyo hapo kaniona Mimi bahili?au ndio nishaachwa😂Umevutua nguo Mkuu,hata kama ni ubaharia we umezidi.