Huyu dada nimueleweje?

Huyu dada nimueleweje?

Kama kusoma mchezo umeshindwa, hata picha nayo umeshindwa kuielewa??
 
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.

Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.

Nimueleweje?
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
 
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?
 
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom