Huyu dada nimueleweje?

Huyu dada nimueleweje?

Kama kusoma mchezo umeshindwa, hata picha nayo umeshindwa kuielewa??
 
Hiyo elfu tano ndo imekuponza
[emoji23][emoji23][emoji23]elewa kuwa hataki mawasiliano tena na wewe .
Usiku kucha elfu 5??? Kweli???[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]
5000.?[emoji849][emoji848]


Sent from my Lenovo L38012 using JamiiForums mobile app
Naona mnavyo isakama buku dasi utadhani sio prsa halali ya Tz....[emoji23][emoji23]
Minahisi kijana aliunderpefom kwanye game....[emoji1787][emoji1787]
 
Naona mnavyo isakama buku dasi utadhani sio prsa halali ya Tz....[emoji23][emoji23]
Minahisi kijana aliunderpefom kwanye game....[emoji1787][emoji1787]
Shoo ilikuwa vizur ata yeye alikiri hivyoo
 
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.

Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.

Nimueleweje?
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
 
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?
 
Miezi mitatu ni siku 90,jana ndio ukataka kumpaTsh 5,000...ukigawanya hiyo kwa mda wote uliokuwa nao,wastani kila siku ulikuwa unampa Tsh 55.56 hata siku ulizomla....conclusion,We ni nyau tena umbwa kabisa 🤣
😂😂😂 Mkuu Ni Nini kuniita Mimi nyau?kosa langu Ni Nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom