Huyu dada bhana!

Huyu dada bhana!

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Huyu Dada alinitosa kwa kuniambia mimi masikini sana sitoweza kumsupport.

Miaka saba ikaisha faster, nimefungua kampuni yangu, nimemaliza kujenga nyumba yangu goba, nina mchumba mzuri ambaye soon tutafunga ndoa, namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.

Yule mdada ambaye aliniona masikini, she still single, anamsubiri tajiri aje amuoe.

Majuzi nimempa lift, nikamuonea huruma sana kwa jinsi alivyokuwa. She was ashemed of her self
 
mfanye nyumba ndogo umpe kigari kimoja mpangie chumba ...ndo anachostaili..side chick material
 
Yaani cjui tutamsaidiaje. Weka picha na no yake tumsaidie.
 
Kama bado unampenda mfanyie malengo coz alikuwa mpenzi wako msaidia atajiona mjingaaa hata wadharau kama wewe.
 
1016181_573032559434186_1875005021_n.jpg
 
Kings of the kings una mbwembwe....
 
Kumbe bado hujakua kiakiri,muache mchumba wako muoe yeye halafu ni pm no ya mchumba wako naona mapenzi bado yapo kwa huyo old school wako
 
Huyu Dada alinitosa kwa kuniambia mimi masikini sana sitoweza kumsupport.

Miaka saba ikaisha faster, nimefungua kampuni yangu, nimemaliza kujenga nyumba yangu goba, nina mchumba mzuri ambaye soon tutafunga ndoa, namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.

Yule mdada ambaye aliniona masikini, she still single, anamsubiri tajiri aje amuoe.

Majuzi nimempa lift, nikamuonea huruma sana kwa jinsi alivyokuwa. She was ashemed of her self
huyo ulitakiwa umpeleke gest za buku tatu au tano wala hutumii kitanda usije ukachafuka unamuinamisha anachukua zake unamrudisha na ahadi kem kem halafu ndo ntolee hivyo, ningekuambia umpigie kwenye gari lakini naona hatakua na hadhi ya kufanyiwa kwenye Range Rover!

my take ukinikatalia mara ya kwanza na dharau juu walahi siku nikikupata halafu niko njema kifedha hutanisahau!
though tigo sitagusa!
 
Kumbe bado hujakua kiakiri,muache mchumba wako muoe yeye halafu ni pm no ya mchumba wako naona mapenzi bado yapo kwa huyo old school wako

Andika kiakili siyo kiakiri. Shule hizi!!!!!!!!!
 
Thread kama hizi zinanifanya nifunge JF na kurudi kazini...Kwa mtanzania kijana wa kawaida ni asilimia chache sana yenye mafanikio kama hayo. Na maisha yako yamenyooka na huna cha kuhitaji toka kwetu. What r u trying to do?
 
Thread kama hizi zinanifanya nifunge JF na kurudi kazini...Kwa mtanzania kijana wa kawaida ni asilimia chache sana yenye mafanikio kama hayo. Na maisha yako yamenyooka na huna cha kuhitaji toka kwetu. What r u trying to do?
Meno ya tembo plus sembe baba yupo wizara nyeti sasa unategemea nini hapo wacha wenye machungu ya nchi tufanye maamuzi magumu 2015 kama hilo vogue lako litatembea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom