Huyu dada anahitaji kusaidiwa

Renegade

JF-Expert Member
Mar 18, 2009
7,127
6,764
Habarini za asubuhi, ni siku nyingine tena ya jumatatu tulivu, tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU kwa kutujaalia afya tele niende kwenye mada, ofisini kwangu kuna dada mmoja muhudumu wa ofisi, tumezoeana kwa kuwa wote tuna tabia ya kuwahi sana ofisini asubuhi,

Lakini pia amenizoea kuwa lazima kabla ya saa 1 lazima aniletee magazeti kwani anaelewa mazoea yangu ya kuwa nimesoma magazeti kabla ya saa 1 asubuhi, mara nyingi anapokuwa na tatizo lolote ananishirikisha, nikiweza nasaidia, na mara nyingi nimekuwa nasaidia, ila ili la leo zito.

Sikuwepo ofisini kwa takribani siku 7, ile naingia tu kaniletea magazeti na kukaa, akaanza kunielezea matatizo yake, kuwa Alhamisi alienda hospitali mgongo unauma,kufika huko Doctor akamuuliza, "Mara ya mwisho ni lini ulifanya mapenzi" anasema akamwambia daktari ni miaka mitano iliyopita!! Mh nikaguna tu sikusema kitu, nikagundua kuwa anahitaji msaada na mimi siko tayari.
 
"Mara ya mwisho ni lini ulifanya mapenzi" anasema akamwambia daktari ni miaka mitano iliyopita!! Mh nikaguna tu sikusema kitu, nikagundua kuwa anahitaji msaada na mimi siko tayari.

Wewe na yeye, nyote mnahitaji Msaada, Mkuu!
 
"Mara ya mwisho ni lini ulifanya mapenzi" anasema akamwambia daktari ni miaka mitano iliyopita!! Mh nikaguna tu sikusema kitu, nikagundua kuwa anahitaji msaada na mimi siko tayari.

Wewe na yeye, nyote mnahitaji Msaada, Mkuu!
Bora umeliona hilo Mkuu
 
kwani alisema wewe ndo umsaidie? kukuletea magazeti si jambo baya hata kidogo. mimi kuna dada ambaye ni mwezi wa sita huu hupenda kuniletea chai ofisini. nakunywa namshukuru. na sometime akienda lunch anakuja na chakula kizuri for me. nakula namshukuru.sijaona kama ni tatizo. sana sana nimemwona ana roho ya upendo na huruma kwangu.

Habarini za asubuhi, ni siku nyingine tena ya jumatatu tulivu, Tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU kwa kutujaalia Afya tele.
Niende kwenye mada, ofcn kwangu kuna dada mmoja muhudumu wa ofisi, tumezoeana kwa kuwa wote tuna tabia ya kuwahi sana ofisini asubuhi, lakini pia amenizoea kuwa lazima kabla ya saa 1 lazima aniletee magazeti kwani anaelewa mazoea yangu ya kuwa nimesoma magazeti kabla ya saa 1 asubuhi, mara nyingi anapokuwa na tatizo lolote ananishirikisha, nikiweza nasaidia, na mara nyingi nimekuwa nasaidia, ila ili la leo zito.
Sikuwepo ofisini kwa takribani siku 7, ile naingia tu kaniletea magazeti na kukaa, akaanza kunielezea matatizo yake, kuwa Alhamisi alienda hospitali mgongo unauma,kufika huko Doctor akamuuliza, "Mara ya mwisho ni lini ulifanya mapenzi" anasema akamwambia daktari ni miaka mitano iliyopita!! Mh nikaguna tu sikusema kitu, nikagundua kuwa anahitaji msaada na mimi siko tayari.
 
kwani alisema wewe ndo umsaidie? kukuletea magazeti si jambo baya hata kidogo. mimi kuna dada ambaye ni mwezi wa sita huu hupenda kuniletea chai ofisini. nakunywa namshukuru. na sometime akienda lunch anakuja na chakula kizuri for me. nakula namshukuru.sijaona kama ni tatizo. sana sana nimemwona ana roho ya upendo na huruma kwangu.
Amesema daktari alimuuliza huyo binti,mara ya mwisho kufanya mapenzi ni lini??kwa iyo mleta mada akaguna tu,nahisi mawazo ya mleta mada ni kua huyo binti alimtongoza kiaina,ili aweze kumsaidia kupona maumiv ya mgongo
 
aaaahhh angeachana na hayo mawazo. mi nilishawahi kuambiwa kabisa na mdada kuwa "leo nina nyege natamani sana kunaniiiliwa" na sikukosa jibu la kumpa wala sikuguna nilimwambia tu "pole"akaitikia asante na mpaka leo ni marafiki sana. maana yeye nyege zake mimi zinanihusu nini? na mtu anaposhare nawe kitu maana yake umsaidie kwa maoni na ushauri sasa unaguna si anakuona fala?
Amesema daktari alimuuliza huyo binti,mara ya mwisho kufanya mapenzi ni lini??kwa iyo mleta mada akaguna tu,nahisi mawazo ya mleta mada ni kua huyo binti alimtongoza kiaina,ili aweze kumsaidia kupona maumiv ya mgongo
 
Tatizo dogo tu hilo muulize kama wewe anakuona unafaa kumuondolea tatizo la miaka 5 kwakuwa wewe pia ni mwanaume labda uwe na mapungufu utashindwa vinginevyo una uwezo wa kutatua maliza hilo mwenyewe
 
Duuu kwa hyo umewaza ngono zembe tu haya we mgonokee tu maan ndo ulikowaza
 
Habarini za asubuhi, ni siku nyingine tena ya jumatatu tulivu, tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU kwa kutujaalia afya tele niende kwenye mada, ofisini kwangu kuna dada mmoja muhudumu wa ofisi, tumezoeana kwa kuwa wote tuna tabia ya kuwahi sana ofisini asubuhi,

Lakini pia amenizoea kuwa lazima kabla ya saa 1 lazima aniletee magazeti kwani anaelewa mazoea yangu ya kuwa nimesoma magazeti kabla ya saa 1 asubuhi, mara nyingi anapokuwa na tatizo lolote ananishirikisha, nikiweza nasaidia, na mara nyingi nimekuwa nasaidia, ila ili la leo zito.

Sikuwepo ofisini kwa takribani siku 7, ile naingia tu kaniletea magazeti na kukaa, akaanza kunielezea matatizo yake, kuwa Alhamisi alienda hospitali mgongo unauma,kufika huko Doctor akamuuliza, "Mara ya mwisho ni lini ulifanya mapenzi" anasema akamwambia daktari ni miaka mitano iliyopita!! Mh nikaguna tu sikusema kitu, nikagundua kuwa anahitaji msaada na mimi siko tayari.
Unataka nikusaidie namna ya kumsaidia kupata msaada? Mlete pm.
 
Habarini za asubuhi, ni siku nyingine tena ya jumatatu tulivu, tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU kwa kutujaalia afya tele niende kwenye mada, ofisini kwangu kuna dada mmoja muhudumu wa ofisi, tumezoeana kwa kuwa wote tuna tabia ya kuwahi sana ofisini asubuhi,

Lakini pia amenizoea kuwa lazima kabla ya saa 1 lazima aniletee magazeti kwani anaelewa mazoea yangu ya kuwa nimesoma magazeti kabla ya saa 1 asubuhi, mara nyingi anapokuwa na tatizo lolote ananishirikisha, nikiweza nasaidia, na mara nyingi nimekuwa nasaidia, ila ili la leo zito.

Sikuwepo ofisini kwa takribani siku 7, ile naingia tu kaniletea magazeti na kukaa, akaanza kunielezea matatizo yake, kuwa Alhamisi alienda hospitali mgongo unauma,kufika huko Doctor akamuuliza, "Mara ya mwisho ni lini ulifanya mapenzi" anasema akamwambia daktari ni miaka mitano iliyopita!! Mh nikaguna tu sikusema kitu, nikagundua kuwa anahitaji msaada na mimi siko tayari.
Mkuu achana nae...nimeku PM
 
aaaahhh angeachana na hayo mawazo. mi nilishawahi kuambiwa kabisa na mdada kuwa "leo nina nyege natamani sana kunaniiiliwa" na sikukosa jibu la kumpa wala sikuguna nilimwambia tu "pole"akaitikia asante na mpaka leo ni marafiki sana. maana yeye nyege zake mimi zinanihusu nini? na mtu anaposhare nawe kitu maana yake umsaidie kwa maoni na ushauri sasa unaguna si anakuona fala?
Hahaha Gudume kwa chai nakuaminia
 
Mkuu nitumie namba yake hapa Atapata FIRST AID fasta tu,na hilo tatizo la mgongo litaisha kabisaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom