Manun'guniko
Senior Member
- Jul 23, 2014
- 155
- 59
Habari zenu jamani,
Habari zenu jamani, kuna dada yangu mmoja alikuwa na mpenzi wake miaka miwil iliyopita. Mapenzi yao yalidumu lakini ilifikia sehemu wakaanza kukosana kosana kwasababu dada alishindwa kumvumilia yule mwanaume kwa tabia yake ya kunywa sana hadi kupitiliza dada akaamua aachane nae.
Lakini walipoachana ndani ya wiki mbili dada akahisi ana ujauzito kaenda kupima kweli akakuta anaujauzito, akaomba ushauri kwa ndugu na marafiki wengi wao wakamshauir amwambie baba wa mtoto japo hawapo kwenye mahusiano tena.
Dada kaamua kumtafuta na akamueleza kwamba nina mimba yako yule mwanaume alikataa kama hamjui alikataa mimba na akamwambia usinitafute tena kwa huo upuuzi wako.
Dada huyu alivumilia kwa vile alikuwa na kazi yake alilea mimba yake vizuri akisaidiana na ndugu zake mpaka akajifungua salama mtoto mzuri wa kike.
Sasa tatizo ni kwamba mtoto amekuwa hadi sa hivi ana miaka miwili, ndiyo yule mwanaume katafuta namba na kaanza kumtafuta tena huyu dada yangu na wakati kipindi cha nyuma hajawahi kupiga simu hata mara moja.
Amebembeleza dada hataki kumuonyesha mtoto hadi alimtafuta baba wa huyu dada na kuomba msamaha sana watu wakamshahuri aje kumuona angalau mtoto yule bwana karuhusiwa kumuona mtoto baada ya kuomba msamaha sana.
Sasa siku moja akampigia simu akamwambia dada yangu nakuja kesho. Kesho ilipofika hasubui na mapema kampigia dada simu na kuanza kumtukana eti huyo mtoto nimewapa kama zawadi kwanza huyo mtoto hamkumpa jina la mama yangu sidhani kama ni mwanangu ilikuwa pigo jingine tena kwa dada yangu.
Sasa ninavoandika hivi huyo bwana alipiga tena simu kwa baba yake huyu dada akamwambia huyo mtoto ni mal yangu sasa nyie mmeamua kunizurumu hata jina la mtt nilitaka aitwe jina la mama yangu nyie hamja mpa nitaakikisha tunamkosa wote huyo mtoto hata nikimaliza waganga wote tz lkn had nitaakikisha kitoto hicho kinaondoka duniani.
Sasa anaitaji ushauri afanyeje kwa mwanaume huyu nyie wanawake mliozaa mtajisikiaje kama ungekuwa ww nawasilisha jaman....
Habari zenu jamani, kuna dada yangu mmoja alikuwa na mpenzi wake miaka miwil iliyopita. Mapenzi yao yalidumu lakini ilifikia sehemu wakaanza kukosana kosana kwasababu dada alishindwa kumvumilia yule mwanaume kwa tabia yake ya kunywa sana hadi kupitiliza dada akaamua aachane nae.
Lakini walipoachana ndani ya wiki mbili dada akahisi ana ujauzito kaenda kupima kweli akakuta anaujauzito, akaomba ushauri kwa ndugu na marafiki wengi wao wakamshauir amwambie baba wa mtoto japo hawapo kwenye mahusiano tena.
Dada kaamua kumtafuta na akamueleza kwamba nina mimba yako yule mwanaume alikataa kama hamjui alikataa mimba na akamwambia usinitafute tena kwa huo upuuzi wako.
Dada huyu alivumilia kwa vile alikuwa na kazi yake alilea mimba yake vizuri akisaidiana na ndugu zake mpaka akajifungua salama mtoto mzuri wa kike.
Sasa tatizo ni kwamba mtoto amekuwa hadi sa hivi ana miaka miwili, ndiyo yule mwanaume katafuta namba na kaanza kumtafuta tena huyu dada yangu na wakati kipindi cha nyuma hajawahi kupiga simu hata mara moja.
Amebembeleza dada hataki kumuonyesha mtoto hadi alimtafuta baba wa huyu dada na kuomba msamaha sana watu wakamshahuri aje kumuona angalau mtoto yule bwana karuhusiwa kumuona mtoto baada ya kuomba msamaha sana.
Sasa siku moja akampigia simu akamwambia dada yangu nakuja kesho. Kesho ilipofika hasubui na mapema kampigia dada simu na kuanza kumtukana eti huyo mtoto nimewapa kama zawadi kwanza huyo mtoto hamkumpa jina la mama yangu sidhani kama ni mwanangu ilikuwa pigo jingine tena kwa dada yangu.
Sasa ninavoandika hivi huyo bwana alipiga tena simu kwa baba yake huyu dada akamwambia huyo mtoto ni mal yangu sasa nyie mmeamua kunizurumu hata jina la mtt nilitaka aitwe jina la mama yangu nyie hamja mpa nitaakikisha tunamkosa wote huyo mtoto hata nikimaliza waganga wote tz lkn had nitaakikisha kitoto hicho kinaondoka duniani.
Sasa anaitaji ushauri afanyeje kwa mwanaume huyu nyie wanawake mliozaa mtajisikiaje kama ungekuwa ww nawasilisha jaman....