Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,752
- 3,385
Wakuu kuna jamaa yangu kapata mchumba (mke mtarajiwa) wa kikurya.
Jamaa anataka avute mazima aweke ndani ila ana wasiwasi huyo demu atamgeuka huko mbeleni maana demu hajakaa kizembezembe ni kama mbabembabe fulani kiaina.
Jamaa anaomba ushauri kwa anaewajua hao wakurya na tabia zao maana asijekuwa amejiletea mandonga wa kumchezeshea vitasa kila uchwao.
Jamaa anataka avute mazima aweke ndani ila ana wasiwasi huyo demu atamgeuka huko mbeleni maana demu hajakaa kizembezembe ni kama mbabembabe fulani kiaina.
Jamaa anaomba ushauri kwa anaewajua hao wakurya na tabia zao maana asijekuwa amejiletea mandonga wa kumchezeshea vitasa kila uchwao.