Huyu comrade Insa Kaisi ameishia wapi?

Huyu comrade Insa Kaisi ameishia wapi?

wabuyaga

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,681
Reaction score
591
wana jf huyu mhs insa kaisi kaishia wapi? Nilitokea kumfahamu wakti nipo tabora boys secondary school wakati akiwa mkuu wa mkoa wa tabora. Alikuwa jembe kama mwakyembe (kabla mwakyembe hajabadirika).
Nitashukuru....
 
wana jf huyu mhs insa kaisi kaishia wapi? Nilitokea kumfahamu wakti nipo tabora boys secondary school wakati akiwa mkuu wa mkoa wa tabora. Alikuwa jembe kama mwakyembe (kabla mwakyembe hajabadirika).
Nitashukuru....

wana jf huyu mhs Insa Kaisi kaishia wapi? Nilitokea kumfahamu wakti nipo tabora boys secondary school wakati akiwa mkuu wa mkoa wa Tabora. Alikuwa jembe kama mwakyembe (kabla mwakyembe hajabadirika).
Nitashukuru....


 
wana jf huyu mhs insa kaisi kaishia wapi? Nilitokea kumfahamu wakti nipo tabora boys secondary school wakati akiwa mkuu wa mkoa wa tabora. Alikuwa jembe kama mwakyembe (kabla mwakyembe hajabadirika).
Nitashukuru....

WANA JF samahani ninaona kuna makosa ktk kuandika. Hii imetokea kwa sababu ya kuwa na haraka ......
 
Nsa Kaisi amestaafu na muda mwingi anaishi kwake kule Kyela.

Mimi nilionana naye Mwaka jana mwezi wa tisa nilipomtembelea pale nyumbani kwake Kyela.

Ni mzima wa afya na bado ana nguvu zake na pia busara nyingi.
 
Nsa Kaisi amestaafu na muda mwingi anaishi kwake kule Kyela.

Mimi nilionana naye Mwaka jana mwezi wa tisa nilipomtembelea pale nyumbani kwake Kyela.

Ni mzima wa afya na bado ana nguvu zake na pia busara nyingi.

Huyu bwana alishaoa kweli?
 
Back
Top Bottom