Ukiangalia upande wa kulia wa picha ya Lowasa kwa nyuma,kuna huyo bwana mwenye shati la zambarau.Ni nani bwana huyu?-maana ameonekana kuwa close sana NA Mgombea.
maCCM na Mwigulu wanasema Edo boy ni hawezi hata kujifuta kamasi au kikombe cha Chai,Lowassa hawajibu upumbavu wao kwa Maneno,he work the talk and not talk the work,Hakika Lowassa anasitahili kupendwa na hata kuongoza mabadiliko ya Taifa hili!!
Huyu jamaa ni Bw. Aloyce Tendewa,alikuwa bodyguard wa Rais wa kwanza Julius Nyerere hadi kifo chake.Baada ya Lowassa kuwa Waziri Mkuu alipangiwa kuwa mlinzi wake mpaka sasa hivi.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.