Huyu bwana mdogo Mohammed bin Salman wa Saudi Arabia hatari

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
14,297
30,881
Ana miaka 32 tu. Ni jumamosi iliyopita kawakamata top figure nchini Saudi Arabia Na kuwasweka ndani miongoni mwao mabilionea Al Waleed Na maafisa was ngazi za juu jeshini kwa kashfa za kifisadi.

Mohammed bib Salman ni jasiri siyo muoga na aangalii sura. Ana elimi nzuri. Ametawazwa kuwa mrithi wa baba yake aking Salman.

Wataalam wa mambo ya kisiasa wanadai jamaa anataka kuleta mageuzi makubwa kwenye Kingdom na kufanya Saudia ifanane na Dubai.

Nimeeanza kumfuatilia kwa karibu Sana huyu dogo

Elungata Pohamba
 
Ana miaka 32 tu. Ni jumamosi iliyopita kawakamata top figure nchini Saudi Arabia Na kuwasweka ndani miongoni mwao mabilionea Al Waleed Na maafisa was ngazi za juu jeshini kwa kashfa za kifisadi.

Mohammed bib Salman.Ni jasiri siyo muoga naangalii sura. Ana elimi nzuri. Ametawazwa kuwa mrithi was baba yake king Salman.

Wataalam was mambo ya kisiasa wanadai jamaa anataka kuleta mageuzi makubwa kwenye kingdom Na kufanya Saudia ifanane Na Dubei.

Nimeeanza kumfuatilia kwa karibu Sana huyu dogo

Elungata Pohamba
ukiweka picha niite
 
Screenshot_20171107-085234.png
dogoo Hana mchezo. Hapo kwa wasweka ndani waliokuwa Na nguvu Saudi Na kuwalaza kwenye vigodoro vyembamba ndani ya five star luxury hotel Gama
 
image.png
Ana miaka 32 tu. Ni jumamosi iliyopita kawakamata top figure nchini Saudi Arabia Na kuwasweka ndani miongoni mwao mabilionea Al Waleed Na maafisa was ngazi za juu jeshini kwa kashfa za kifisadi.

Mohammed bib Salman ni jasiri siyo muoga na aangalii sura. Ana elimi nzuri. Ametawazwa kuwa mrithi wa baba yake aking Salman.

Wataalam wa mambo ya kisiasa wanadai jamaa anataka kuleta mageuzi makubwa kwenye Kingdom na kufanya Saudia ifanane na Dubai.

Nimeeanza kumfuatilia kwa karibu Sana huyu dogo

Elungata Pohamba
Hapo Mkuu hakuna masuala ya mageuzi ya uchumi hapo kuna Power Struggle katika familia ya Bin Saudh. Kwa taratibu huyu dogo hakutakiwa kumrithi baba yake mrithi wa ufalme alikuwa Crown prince Muhammad bin Nayef na kwa karibu karne moja ya utawala huu utaratibu wa kurithiana madaraka ulikuwa unafanyika bila mgogoro wowote. King Salman ambaye kwasasa ndio mfalme wa Saudi Arabia amekiuka utaratibu huo kwa kumteua mtoto wake awe mrithi wake. Ukoo wa kifalme wa Saudh Arabia kwa idadi wanafikia elfu kumi na tano na wengi wamechukizwa na hatua ya King Salman kukiuka taratibu hizo.
Huyu dogo ana dalili zote za kuwa Dictator kwani akiwa Waziri wa Ulinzi ameliingiza taifa hilo kwenye vita dhidi ya Yemen ambapo maelfu ya raia wa Yemen wameuawa katika vita hivyo. Amejaribu kuitisha na kuvamia taifa la Qatar lakini ameshindwa.
Hatua aliyofikia kwasasa ya kukamata wana wafalme wanaompinga ndio imekuwa mbaya zaidi kwani kwa muda wa masaa 48 wana wafalme wawili wameuawa mmoja kwa ajali ya ndege ya helicopter na mwingine aliyekuwa mtoto wa King Fahd alipigwa risasi na kuuwawa baada ya kukataa kutiwa nguvuni.
Kwa kifupi tutarajie nchi ya Saudh Arabia kuwa Syria ama Iraq nyingine.
 
Hapo Mkuu hakuna masuala ya mageuzi ya uchumi hapo kuna Power Struggle katika familia ya Bin Saudh. Kwa taratibu huyu dogo hakutakiwa kumrithi baba yake mrithi wa ufalme alikuwa Crown prince Muhammad bin Nayef na kwa karibu karne moja ya utawala huu utaratibu wa kurithiana madaraka ulikuwa unafanyika bila mgogoro wowote. King Salman ambaye kwasasa ndio mfalme wa Saudi Arabia amekiuka utaratibu huo kwa kumteua mtoto wake awe mrithi wake. Ukoo wa kifalme wa Saudh Arabia kwa idadi wanafikia elfu kumi na tano na wengi wamechukizwa na hatua ya King Salman kukiuka taratibu hizo.
Huyu dogo ana dalili zote za kuwa Dictator kwani akiwa Waziri wa Ulinzi ameliingiza taifa hilo kwenye vita dhidi ya Yemen ambapo maelfu ya raia wa Yemen wameuawa katika vita hivyo. Amejaribu kuitisha na kuvamia taifa la Qatar lakini ameshindwa.
Hatua aliyofikia kwasasa ya kukamata wana wafalme wanaompinga ndio imekuwa mbaya zaidi kwani kwa muda wa masaa 48 wana wafalme wawili wameuawa mmoja kwa ajali ya ndege ya helicopter na mwingine aliyekuwa mtoto wa King Fahd alipigwa risasi na kuuwawa baada ya kukataa kutiwa nguvuni.
Kwa kifupi tutarajie nchi ya Saudh Arabia kuwa Syria ama Iraq nyingine.
Maon yako mzuri ila kasome teta toka mwanz mpka mwisho history ya kina huyu
 
Ana miaka 32 tu. Ni jumamosi iliyopita kawakamata top figure nchini Saudi Arabia Na kuwasweka ndani miongoni mwao mabilionea Al Waleed Na maafisa was ngazi za juu jeshini kwa kashfa za kifisadi.

Mohammed bib Salman ni jasiri siyo muoga na aangalii sura. Ana elimi nzuri. Ametawazwa kuwa mrithi wa baba yake aking Salman.

Wataalam wa mambo ya kisiasa wanadai jamaa anataka kuleta mageuzi makubwa kwenye Kingdom na kufanya Saudia ifanane na Dubai.

Nimeeanza kumfuatilia kwa karibu Sana huyu dogo

Elungata Pohamba
Usisahau kumfuatilia na na Mr. Pombe
 
Ana miaka 32 tu. Ni jumamosi iliyopita kawakamata top figure nchini Saudi Arabia Na kuwasweka ndani miongoni mwao mabilionea Al Waleed Na maafisa was ngazi za juu jeshini kwa kashfa za kifisadi.

Mohammed bib Salman ni jasiri siyo muoga na aangalii sura. Ana elimi nzuri. Ametawazwa kuwa mrithi wa baba yake aking Salman.

Wataalam wa mambo ya kisiasa wanadai jamaa anataka kuleta mageuzi makubwa kwenye Kingdom na kufanya Saudia ifanane na Dubai.

Nimeeanza kumfuatilia kwa karibu Sana huyu dogo

Elungata Pohamba
Uko sahihi kumfuatilia. Saudia ya viwanda inayotazamiwa kujengwa baada ya mafuta kwisha inabashiriwa kuchukua wafanyakazi wa ngazi za chini kutoka Afrika kwa style ya utumwa wa kisasa. Vijana wote mnapaswa kuwa macho sana na mambo kama haya.
 
Hapo Mkuu hakuna masuala ya mageuzi ya uchumi hapo kuna Power Struggle katika familia ya Bin Saudh. Kwa taratibu huyu dogo hakutakiwa kumrithi baba yake mrithi wa ufalme alikuwa Crown prince Muhammad bin Nayef na kwa karibu karne moja ya utawala huu utaratibu wa kurithiana madaraka ulikuwa unafanyika bila mgogoro wowote. King Salman ambaye kwasasa ndio mfalme wa Saudi Arabia amekiuka utaratibu huo kwa kumteua mtoto wake awe mrithi wake. Ukoo wa kifalme wa Saudh Arabia kwa idadi wanafikia elfu kumi na tano na wengi wamechukizwa na hatua ya King Salman kukiuka taratibu hizo.
Huyu dogo ana dalili zote za kuwa Dictator kwani akiwa Waziri wa Ulinzi ameliingiza taifa hilo kwenye vita dhidi ya Yemen ambapo maelfu ya raia wa Yemen wameuawa katika vita hivyo. Amejaribu kuitisha na kuvamia taifa la Qatar lakini ameshindwa.
Hatua aliyofikia kwasasa ya kukamata wana wafalme wanaompinga ndio imekuwa mbaya zaidi kwani kwa muda wa masaa 48 wana wafalme wawili wameuawa mmoja kwa ajali ya ndege ya helicopter na mwingine aliyekuwa mtoto wa King Fahd alipigwa risasi na kuuwawa baada ya kukataa kutiwa nguvuni.
Kwa kifupi tutarajie nchi ya Saudh Arabia kuwa Syria ama Iraq nyingine.
Mkuu Bowie nashukuru kwa maelezo Na ufafanuzi wenye weledi nimejifunza zaid. Issue ya power struggle Ni mbaya sana inaleta chuki Na hata mauaji. Rejea Josef Stallin Na Leon Trosky Bolsheviks
 
Ana miaka 32 tu. Ni jumamosi iliyopita kawakamata top figure nchini Saudi Arabia Na kuwasweka ndani miongoni mwao mabilionea Al Waleed Na maafisa was ngazi za juu jeshini kwa kashfa za kifisadi.

Mohammed bib Salman ni jasiri siyo muoga na aangalii sura. Ana elimi nzuri. Ametawazwa kuwa mrithi wa baba yake aking Salman.

Wataalam wa mambo ya kisiasa wanadai jamaa anataka kuleta mageuzi makubwa kwenye Kingdom na kufanya Saudia ifanane na Dubai.

Nimeeanza kumfuatilia kwa karibu Sana huyu dogo

Elungata Pohamba
Hakuna lolote anajiimarisha kimadaraka maana anakamata kila mwenye influence.
Anataka kufanya Saudia iwe moderate Islamic state jambo ambalo kizazi cha wazee hawataki kusikia ila vijana wanafurahi.
Sema sera zake nyingine zimeligharimu taifa kama operation yao huko Yemen wameshindwa wathibiti waasi na kila siku wanatumia ela.
Kuacha hawataki maana Iran inazidi pata influence.
Hao aliokamata ni kwamba wengi anajua wanapingana naye....
 
Back
Top Bottom