Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,186
sahihiLabda fedha alizokusanya huko ndio zitakuwa zilimpa mtaji wa kufungua hizo mambo za kuweka camera na fensi za umeme...
sahihiLabda fedha alizokusanya huko ndio zitakuwa zilimpa mtaji wa kufungua hizo mambo za kuweka camera na fensi za umeme...
janja janja tu jamaa zake zito kabwe wazee wa pyramid schemeVero mmewe pia ako na pesaaa
Kumbeforever living membersView attachment 2181578View attachment 2181579
Hao ni wanawake mkuu usiulize sanaHawa watu wawili Bi blandina Njau na Veronika kundya ni kina nani hasa hapa nchini?
Wamekua wakipost magari ya kifahari na mafanikio sana sasa nijuzeni hawa ni kina nani na wanafanya mishe gani mjini?
Nawasilisha
Kwani umejuaje km mleta uzi ni Mwanaume?mwanaume kujadili mafanikio ya mwanamke daah
una bifu na koment yanguKwani umejuaje km mleta uzi ni Mwanaume?
Hawana shida bana,kazi zao ni halali hata wewe unaweza ukajiunga.Insta inaharibu sana vijana, inafanya wawaze mafanikio ya haraka ili wale bata ilhali wanaopost huko wamehustle kichizi.
Sijui mishe zao ila kama zinahatarisha usalama nadhani wangeshatiwa nguvuni na policcm.
Itakuwa ni wale maofisa wa ‘DECI’ schemes kama Forever living, GNLD , Qnet, na takataka zingine za kitapeli.Hawa watu wawili Bi blandina Njau na Veronika kundya ni kina nani hasa hapa nchini?
Wamekua wakipost magari ya kifahari na mafanikio sana sasa nijuzeni hawa ni kina nani na wanafanya mishe gani mjini?
Nawasilisha
NakaziaItakuwa ni wale maofisa wa ‘DECI’ schemes kama Forever living, GNLD , Qnet, na takataka zingine za kitapeli.
😂🤣😅😆😁😄😃😀Ndugu Zangu Hata Ccm Majizi Yapo TeleMatapeli huoni majina ya kule kaskazini
Una hofu ya kimasikiniMatapeli huoni majina ya kule kaskazini
Kama weweUna hofu ya kimasikini