Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 422
- 1,156
- Thread starter
- #61
Sawa Mkuu wewe ushauri wako ni bora sana kuliko wengine wote.......Mungu awe nawekosa la kwanza mlokole kosa la pili mbara kosa la tatu mweusi,ushauri wangu achana na uyo mpemba unapoteza time yako tu.wapemba kama warabu tu wa middle east Ni Ngumu sana kuwaozesha mabinti zao kwa Watu wasio wa asili yao .ukiendelea kulazimisha utakuja kukutana na ubaguzi urudi hapa tena kupiga kelele tafta walokole wezako mbona hapo muhimbili wamejaa wakutosha