Uhuni tu yeye ndio kanogewa anataka ushauri aendelee na harusi au ahamie kwa hicho kipita njia, amini amini nawaambia, kuchuma mboga kwingi mwisho wake mnakuja kuchuma chungu kama mchunga, wengine hatujaribiwi lazima unase tu!!!!
Wanaume bwana.
huyo jamaa ana matatizo, wala asimlaumu huyo binti, yaani wewe unaweza kweli kufanya yaishe??Leo wakati nafika nyumbani nikamkuta rafiki yangu mmoja ambae anafanya biashara ya nguo yaani ana duka akaniambia kuwa kuna binti alikuja kununua nguo dukani lakini akawa hela ikawa haitoshi,jamaa akamwambia atamsaidia kwani yule binti alimwomba amsaidie hakuwa na hela ya kuongeza ili achukue nguo,tatizo ni kwamba yule binti baada ya kusaidiwa akawa anamwambia yule jamaa kuwa anataka amshukuru kwa msaada jamaa akamuuliza aina ya shukrani binti akamwambia anataka wafanye mapenzi,jamaa akakataa kwani mwezi ujao anafunga ndoa,usumbufu ulipozidi jamaa akaona mke wake mtarajiwa atajua,ikabidi ampe binti anachotaka matokeo binti anasema siku hiyo alienjoy hivyo anataka wasiache jamaa amemwambia kuhusu ndoa yake mwezi ujao binti amesema atajitahidi iwe siri kwani kwa raha aliyoipata hawezi kumwacha jamaa,jamaa amechanganyikiwa,afanyeje????
huyo jamaa ana matatizo, wala asimlaumu huyo binti, yaani wewe unaweza kweli kufanya yaishe??
lazima na yeye alitamani na binti aliona hiyo weakness
leo wakati nafika nyumbani nikamkuta rafiki yangu mmoja ambae anafanya biashara ya nguo yaani ana duka akaniambia kuwa kuna binti alikuja kununua nguo dukani lakini akawa hela ikawa haitoshi,jamaa akamwambia atamsaidia kwani yule binti alimwomba amsaidie hakuwa na hela ya kuongeza ili achukue nguo,tatizo ni kwamba yule binti baada ya kusaidiwa akawa anamwambia yule jamaa kuwa anataka amshukuru kwa msaada jamaa akamuuliza aina ya shukrani binti akamwambia anataka wafanye mapenzi,jamaa akakataa kwani mwezi ujao anafunga ndoa,usumbufu ulipozidi jamaa akaona mke wake mtarajiwa atajua,ikabidi ampe binti anachotaka matokeo binti anasema siku hiyo alienjoy hivyo anataka wasiache jamaa amemwambia kuhusu ndoa yake mwezi ujao binti amesema atajitahidi iwe siri kwani kwa raha aliyoipata hawezi kumwacha jamaa,jamaa amechanganyikiwa,afanyeje????
Eti anataka kushauriwaKosa alilifanya mara ya kwanza alipokubali hiyo shukrani. Aangalie huyo mchumba angegundua kuwa bint analazimisha kutoa shukrani na sasa akijua kuwa ameshapokea shukran na bint analazimisha kuendelea kushukuru ipi itamuuma zaidi mchumba wake?
Umeona eeeeee kazi kwelikweliHapa naona hakuna story mi naona tu huyo jamaa yako alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na huyo dada sasa anataka kujiondoaondoa ili kuficha ufisadi wake kwa mwanandoa mwenzake na amtose huyo binti.....wote ni wahuni tu hakuna lolote hapo.