Sikiliza kwa makini mkuu
Naona ushapaniki siku 40 zinatosha kuonyesha kama maambukizi unayo au hauna ingekuwa vyema zaidi ungepima hospitali zaidi kile kipimo ambacho wanatoa damu kwenye mkono katikati ya upande wa msuli na kiwiko sijamaanisha cha kwanza hakifai la hasha ni kwa uhakika zaidi kukuondolea hofu na
hicho ukikutwa hauna nenda kafanye sherehe achana na mambo ya miezi mitatu na wala wasikutishe hawajui chochote humu
Mwanaume kufanya mapenzi na muathirika sio rahisi kupata kama unavyofikiria la sivyo dunia nzima tungekuwa nao
Unaupata pale ambapo utatokea mchubuko na mchubuko unakuja pale ambapo utakamia gemu trust me na mchubuko ukiupata utajua tu na ukila tigo huwezi pona lazima upate lakini kama ni mstaarab unamuandaa fresh au kibao kimoja tu huwezi pata
Na kama dada anatumia arv viral load yake inakuwa ndogo hawezi kukuambukiza
Katika watu ambao wangetakiwa wasisitize matumizi ya kinga ni wanawake wao kupata ni kitendo cha kugusa tu kutokana na maumbile yao