Columbus JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,002 648 Aug 28, 2012 #21 Hii ishara wakati mwingine inaonyeshwa mtu aliyepigwa bao, iwe mpirani au katika deal fulani hivi.
kazikubwa JF-Expert Member Oct 8, 2010 597 145 Aug 28, 2012 #22 Bila shaka ni mpenzi wa nyimbo za Sugu..(maadui zangu wote nawapa dole la kati, sugu moto chini eee sugu moto chini eee aha aha ahaaaa ee moto chini)
Bila shaka ni mpenzi wa nyimbo za Sugu..(maadui zangu wote nawapa dole la kati, sugu moto chini eee sugu moto chini eee aha aha ahaaaa ee moto chini)
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Aug 28, 2012 #24 marejesho said: Ha ha ha ha!!hiyo sura nayo inashabikia kutolewa damu??ha ha ha! Click to expand... .....teheeeeeeee..
marejesho said: Ha ha ha ha!!hiyo sura nayo inashabikia kutolewa damu??ha ha ha! Click to expand... .....teheeeeeeee..