kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,351
- 12,686
Kuna mmoja hapo anatolewa kafara. Mkuu uwe unaleta mrejeshoTunaishi tofauti alafu mzee hajui hata mlango wa kanisa/ msikiti
Kifupi hana dini
Kuna mmoja hapo anatolewa kafara. Mkuu uwe unaleta mrejeshoTunaishi tofauti alafu mzee hajui hata mlango wa kanisa/ msikiti
Kifupi hana dini
Hembu Soma.Kumbe zipo zingine!! Ngoja nizisome.
Yaani mwaka 2012 ulikuwa na mwanaume anayetoa manii meusi sijui mekundu..... Leo tena unataka ndoa.Manii nyeusi
habar zenu nauliza nini husababisha shahawa kuwa nyekundu au nyeusi maaana mme wangu anatatizo hilo sasa sijui kama ni tatizo au ni kawaida, msaada plsewww.jamiiforums.com
Kama uta left jf kwa kuambiwa ukweli, nenda kwa amani mkuu.dah! michango ya hum usipokua na moyo unaweza left jf.. kuhusu tabia hapana mzee tangu siku ya Kwanza ananisifia mi mpole Sana istoshe atuishi nae sisi tuko mkoa mwingine na yeye labda swala la mtoto ambalo tumekubaliana na mwenzangu tusubir ndoa any way ngoja tuvumilie tu Mungu ataonyesha njia
Mkuu pata eagle mbili za buku buku naja kulipia chaapYaani mwaka 2012 ulikuwa na mwanaume anayetoa manii meusi sijui mekundu..... Leo tena unataka ndoa.
Naungana na baba mkwe ndoa mwakani.



Sasa mkuu vp Kama baba mkwe hanitaki alafu ananyamaza kimya vp kwa badae sitakua na watoto ambao hawana baba?Kama uta left jf kwa kuambiwa ukweli, nenda kwa amani mkuu.
Ninachoipendea jf unaambiwa ukweli japo inaweza kuwa sio kile ulichokuwa unataka ukisikie au ushauriwe.
Binafsi nimeona tatizo lipo kwako.
Usilazimishe kuolewa
relax, timiza wajibu wako, mambo yatanyooka wakati mwafaka ukifika.
Hupaswi kulilia ndoa
Usipomwelewa baba mkwe leo, utakuja mwelewa baadae.
Mungu akubariki na akujalie Subira!
Mm mke wangu alisubili miaka 7 ndo tukafunga ndoa na hakuwai kulalamika, wewe mwaka mmoja unamfungulia baba Mkwe Uzi...
WAZINZI AWASHAURIKIMwenzenu naomba ushauri huyu baba mkwe simwelew kabisa
Iko hivi
Nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana baada ya kukamilisha process zote ikabaki kufunga ndoa tu
Ilipofikia mda wa kufunga ndoa baba mkwe akaja nyumbani kwa wazazi wangu pamoja na wazee wengine 2, akaomba nije niishi na mwanae uchumi wake haujakaa vizur anategemea kilimo ivyo anaomba mwaka huu tufunge....
Nilikubali kwa sababu alizozitoa kwamba mwanae kahamishwa kikaz so anaomba ahame na mkewe ambae Ni Mimi
Ok imefika mwaka huu Mimi na mwenzangu tukaanza kujiandaa pamoja na kusave pesa tukiamin mwaka huu tutafunga ndoa..
Mwez wa 6 mwenzangu akaenda Kijijini kumwambia mzee nataka nifunge ndoa mwaka huu,,. Baba mkwe akadai anataka afanye sherehe ivyo tumpe muda kidogo atatupa jibu
Juz tena mwenzangu kaenda kijijin kaita kikao Cha baadhi ya ndugu zake pamoja na wazazi wake akamwambia mzee vp nataka nifunge ndoa
Baba akadai sijajipanga vzuri tufanye mwaka kesho kwa Sasa Sina hela, mwenzangu akamwambia baba Mimi pesa ninayo we kama unataka unifanyie sherehe andaaa tu mi nitakuwezesha
Baba kakataa et umenifanyia makubwa Sana leo na ndoa ufunge kwa pesa yako hapana hela yako kafanyie vitu vingine Mimi najipanga mtafunga mwakakesho
Kabembelezwa Sana na baadhi ya ndugu kakataa kabisa anadai tusubir...
Tumejadilian na mwenzangu kwamba tufunge tu sisi bila kufanya sherehe then Kama yeye anataka sherehe atatufanyia mwaka kesho.,,,,, Bado tumemwambia hataki anadai Kama mmeamua hivyo fanyen ila msinishirikishe Mimi
Mi nachotaka mtulie mtafunga mwaka kesho
Waungwana naomben ushaur tufanyeje? kumbuka nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana bila ndoa kadai mwaka huu ,,
Mwaka umefika hataki tena anadai mwaka kesho ... nifanyeje??
HAHAAAAAA I LIKE JF EXPERTMzee ameisha kuona wewe ni chenga, utamsumbua mtoto wake anavuta vuta kijana wake akuchoke mtemane.
Mwanamke anataka ndoa ila hajajiandaa kisaikolojia kulala bila chupi ama kuvua chupi muda wowote baharia anapotaka kitobo.Kwa hiyo wewe unataka ndoa tuu
Kwani hamuwezi ishi baadae ndo mje kufunga hiyo ndoa??
Au wewe ni miongoni mwa wale wanaokimbilia ndoa ili muonekane hamjui kama kuna maisha baada ya ndoa