Huyu baba mkwe simwelewi anataka Nini?

Huyu baba mkwe simwelewi anataka Nini?

 
Yaani mwaka 2012 ulikuwa na mwanaume anayetoa manii meusi sijui mekundu..... Leo tena unataka ndoa.

Naungana na baba mkwe ndoa mwakani.
 
Baba mkwe wako ni 'mthavi'. Tafuta mpare yoyote akutafsirie kama vipi.
 
Unaonekana hufai ndo maana baba mkwe anavuta siku mwanae ajue hapa hamna mke uzi wako unaonyesha tu" eti huyu mzee "

Baba mkwe ni baharia wacha amuokoe mwanae na matatizo
 
Ulivyo andika hapa, utawaharibia wenzio. Kuna watu humu wanapitia haya na wakwe zao wako humu.
Kimsingi nakushauri uheshimu wazazi. Mwakani sio mbali.. hata kama ni 2025 utafunga tu. Vuta subira.
 
dah! michango ya hum usipokua na moyo unaweza left jf.. kuhusu tabia hapana mzee tangu siku ya Kwanza ananisifia mi mpole Sana istoshe atuishi nae sisi tuko mkoa mwingine na yeye labda swala la mtoto ambalo tumekubaliana na mwenzangu tusubir ndoa any way ngoja tuvumilie tu Mungu ataonyesha njia
Kama uta left jf kwa kuambiwa ukweli, nenda kwa amani mkuu.

Ninachoipendea jf unaambiwa ukweli japo inaweza kuwa sio kile ulichokuwa unataka ukisikie au ushauriwe.

Binafsi nimeona tatizo lipo kwako.
Usilazimishe kuolewa
relax, timiza wajibu wako, mambo yatanyooka wakati mwafaka ukifika.
Hupaswi kulilia ndoa

Usipomwelewa baba mkwe leo, utakuja mwelewa baadae.

Mungu akubariki na akujalie Subira!
 
Yaani mwaka 2012 ulikuwa na mwanaume anayetoa manii meusi sijui mekundu..... Leo tena unataka ndoa.

Naungana na baba mkwe ndoa mwakani.
Mkuu pata eagle mbili za buku buku naja kulipia chaap
Nimecheka sana
 
Kama uta left jf kwa kuambiwa ukweli, nenda kwa amani mkuu.

Ninachoipendea jf unaambiwa ukweli japo inaweza kuwa sio kile ulichokuwa unataka ukisikie au ushauriwe.

Binafsi nimeona tatizo lipo kwako.
Usilazimishe kuolewa
relax, timiza wajibu wako, mambo yatanyooka wakati mwafaka ukifika.
Hupaswi kulilia ndoa

Usipomwelewa baba mkwe leo, utakuja mwelewa baadae.

Mungu akubariki na akujalie Subira!
Sasa mkuu vp Kama baba mkwe hanitaki alafu ananyamaza kimya vp kwa badae sitakua na watoto ambao hawana baba?
 
Mzee ameisha kuona wewe ni chenga, utamsumbua mtoto wake anavuta vuta kijana wake akuchoke mtemane.
 
Mm mke wangu alisubili miaka 7 ndo tukafunga ndoa na hakuwai kulalamika, wewe mwaka mmoja unamfungulia baba Mkwe Uzi...

Wanawake wa siku hizi ni shida sna.
Yaani na lawama juu kwamba hamuelewi baba mkwe wake.😣😣
 
Mwenzenu naomba ushauri huyu baba mkwe simwelew kabisa

Iko hivi
Nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana baada ya kukamilisha process zote ikabaki kufunga ndoa tu

Ilipofikia mda wa kufunga ndoa baba mkwe akaja nyumbani kwa wazazi wangu pamoja na wazee wengine 2, akaomba nije niishi na mwanae uchumi wake haujakaa vizur anategemea kilimo ivyo anaomba mwaka huu tufunge....
Nilikubali kwa sababu alizozitoa kwamba mwanae kahamishwa kikaz so anaomba ahame na mkewe ambae Ni Mimi
Ok imefika mwaka huu Mimi na mwenzangu tukaanza kujiandaa pamoja na kusave pesa tukiamin mwaka huu tutafunga ndoa..

Mwez wa 6 mwenzangu akaenda Kijijini kumwambia mzee nataka nifunge ndoa mwaka huu,,. Baba mkwe akadai anataka afanye sherehe ivyo tumpe muda kidogo atatupa jibu
Juz tena mwenzangu kaenda kijijin kaita kikao Cha baadhi ya ndugu zake pamoja na wazazi wake akamwambia mzee vp nataka nifunge ndoa
Baba akadai sijajipanga vzuri tufanye mwaka kesho kwa Sasa Sina hela, mwenzangu akamwambia baba Mimi pesa ninayo we kama unataka unifanyie sherehe andaaa tu mi nitakuwezesha
Baba kakataa et umenifanyia makubwa Sana leo na ndoa ufunge kwa pesa yako hapana hela yako kafanyie vitu vingine Mimi najipanga mtafunga mwakakesho
Kabembelezwa Sana na baadhi ya ndugu kakataa kabisa anadai tusubir...

Tumejadilian na mwenzangu kwamba tufunge tu sisi bila kufanya sherehe then Kama yeye anataka sherehe atatufanyia mwaka kesho.,,,,, Bado tumemwambia hataki anadai Kama mmeamua hivyo fanyen ila msinishirikishe Mimi
Mi nachotaka mtulie mtafunga mwaka kesho

Waungwana naomben ushaur tufanyeje? kumbuka nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana bila ndoa kadai mwaka huu ,,
Mwaka umefika hataki tena anadai mwaka kesho ... nifanyeje??
WAZINZI AWASHAURIKI
JIBU UMEMALIZA.MWENYEWW UKI BA MWANAUME MWAKA BILA NDOA NENDA KWA.MWAMPOSA UKATUBU KWA.MUNGU WAKOOOOOO USIPONIELEWA UTAELEWA BABA MKWE ANATAKA NN......
FANYA MAPPING YA FAMILIA YAOO INAONEKANA MZEE ANATAKA MZIGOOO SIKUTISHIIII KAOMBEWE UYAJENGE HATA HIYO NDOA IKIFANYIKA BILA TOBA UTALIA
 
Mzee ameisha kuona wewe ni chenga, utamsumbua mtoto wake anavuta vuta kijana wake akuchoke mtemane.
HAHAAAAAA I LIKE JF EXPERT
KAHISI ANA DANGA KWA MWANAE NN NA MAPATO AYAONI HAHAHAAAA
 
Kwa hiyo wewe unataka ndoa tuu
Kwani hamuwezi ishi baadae ndo mje kufunga hiyo ndoa??
Au wewe ni miongoni mwa wale wanaokimbilia ndoa ili muonekane hamjui kama kuna maisha baada ya ndoa
Mwanamke anataka ndoa ila hajajiandaa kisaikolojia kulala bila chupi ama kuvua chupi muda wowote baharia anapotaka kitobo.
 
Back
Top Bottom