Huyu baba mkwe simwelewi anataka Nini?

Huyu baba mkwe simwelewi anataka Nini?

Mpaka mtakapopata uhuru kamili mtaupigania sana.Lazima ujitegemee kiakili na kiuchumi bila kutegemea chochote kutoka Kwa yeyote Ndio mtaweza kujenga familia madhubuti
 
Mwenzenu naomba ushauri huyu baba mkwe simwelew kabisa

Iko hivi
Nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana baada ya kukamilisha process zote ikabaki kufunga ndoa tu

Ilipofikia mda wa kufunga ndoa baba mkwe akaja nyumbani kwa wazazi wangu pamoja na wazee wengine 2, akaomba nije niishi na mwanae uchumi wake haujakaa vizur anategemea kilimo ivyo anaomba mwaka huu tufunge....
Nilikubali kwa sababu alizozitoa kwamba mwanae kahamishwa kikaz so anaomba ahame na mkewe ambae Ni Mimi
Ok imefika mwaka huu Mimi na mwenzangu tukaanza kujiandaa pamoja na kusave pesa tukiamin mwaka huu tutafunga ndoa..

Mwez wa 6 mwenzangu akaenda Kijijini kumwambia mzee nataka nifunge ndoa mwaka huu,,. Baba mkwe akadai anataka afanye sherehe ivyo tumpe muda kidogo atatupa jibu
Juz tena mwenzangu kaenda kijijin kaita kikao Cha baadhi ya ndugu zake pamoja na wazazi wake akamwambia mzee vp nataka nifunge ndoa
Baba akadai sijajipanga vzuri tufanye mwaka kesho kwa Sasa Sina hela, mwenzangu akamwambia baba Mimi pesa ninayo we kama unataka unifanyie sherehe andaaa tu mi nitakuwezesha
Baba kakataa et umenifanyia makubwa Sana leo na ndoa ufunge kwa pesa yako hapana hela yako kafanyie vitu vingine Mimi najipanga mtafunga mwakakesho
Kabembelezwa Sana na baadhi ya ndugu kakataa kabisa anadai tusubir...

Tumejadilian na mwenzangu kwamba tufunge tu sisi bila kufanya sherehe then Kama yeye anataka sherehe atatufanyia mwaka kesho.,,,,, Bado tumemwambia hataki anadai Kama mmeamua hivyo fanyen ila msinishirikishe Mimi
Mi nachotaka mtulie mtafunga mwaka kesho

Waungwana naomben ushaur tufanyeje? kumbuka nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana bila ndoa kadai mwaka huu ,,
Mwaka umefika hataki tena anadai mwaka kesho ... nifanyeje??
Nilichosoma Mzee anataka aone mjukuu kwanza ndiyo kijana wake afunge ndoa na ww, hii ni kuepuka kijana wake kuoa Mke ambaye hana uwezo wa kumpatia mjukuu. Sema ameongea kikubwa sana ukiwa akili ndogo huwezi kumuelewa.
 
Nami nilililipa ghalama kwa wazazi wa mke wangu. Wazazi wangu wakaomba kukabidhiwa mwali, ndugu wa mke wakadai ndoa.

Baada ya mjadala wa muda mrefu nikakabidhiwa mwali kwa sharti la kufunga ndoa baada ya miaka 2. Miaka 2 iliisha bila hata kichefu chefu wala kudai limao.

Ndoa haikufungwa mpaka tulipopata mtoto wa Kwanza, ndio programme ikawa resumed. Mama kama hata mimba hamna hiyo ndoa utaisikia kwenye powet break fast tu.
 
dah! michango ya hum usipokua na moyo unaweza left jf.. kuhusu tabia hapana mzee tangu siku ya Kwanza ananisifia mi mpole Sana istoshe atuishi nae sisi tuko mkoa mwingine na yeye labda swala la mtoto ambalo tumekubaliana na mwenzangu tusubir ndoa any way ngoja tuvumilie tu Mungu ataonyesha njia
 
Mwenzenu naomba ushauri huyu baba mkwe simwelew kabisa

Iko hivi
Nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana baada ya kukamilisha process zote ikabaki kufunga ndoa tu

Ilipofikia mda wa kufunga ndoa baba mkwe akaja nyumbani kwa wazazi wangu pamoja na wazee wengine 2, akaomba nije niishi na mwanae uchumi wake haujakaa vizur anategemea kilimo ivyo anaomba mwaka huu tufunge....
Nilikubali kwa sababu alizozitoa kwamba mwanae kahamishwa kikaz so anaomba ahame na mkewe ambae Ni Mimi
Ok imefika mwaka huu Mimi na mwenzangu tukaanza kujiandaa pamoja na kusave pesa tukiamin mwaka huu tutafunga ndoa..

Mwez wa 6 mwenzangu akaenda Kijijini kumwambia mzee nataka nifunge ndoa mwaka huu,,. Baba mkwe akadai anataka afanye sherehe ivyo tumpe muda kidogo atatupa jibu
Juz tena mwenzangu kaenda kijijin kaita kikao Cha baadhi ya ndugu zake pamoja na wazazi wake akamwambia mzee vp nataka nifunge ndoa
Baba akadai sijajipanga vzuri tufanye mwaka kesho kwa Sasa Sina hela, mwenzangu akamwambia baba Mimi pesa ninayo we kama unataka unifanyie sherehe andaaa tu mi nitakuwezesha
Baba kakataa et umenifanyia makubwa Sana leo na ndoa ufunge kwa pesa yako hapana hela yako kafanyie vitu vingine Mimi najipanga mtafunga mwakakesho
Kabembelezwa Sana na baadhi ya ndugu kakataa kabisa anadai tusubir...

Tumejadilian na mwenzangu kwamba tufunge tu sisi bila kufanya sherehe then Kama yeye anataka sherehe atatufanyia mwaka kesho.,,,,, Bado tumemwambia hataki anadai Kama mmeamua hivyo fanyen ila msinishirikishe Mimi
Mi nachotaka mtulie mtafunga mwaka kesho

Waungwana naomben ushaur tufanyeje? kumbuka nimeanza kuishi na huyu mwanaume mwaka Jana bila ndoa kadai mwaka huu ,,
Mwaka umefika hataki tena anadai mwaka kesho ... nifanyeje??
Wakwe wengi hutaka kuona kwanza umebeba mimba au una mtoto na jamaa. Chunguza hilo...
 
Baada ya kupitia kwa harakaharaka nyuzi zako nimeamua nimuunge mkono babamkweo. Huyo mumeo ana kazi sana.
 
Watu mnamhukumu bure mtoa mada,em pitien nyuz zake za nyuma muone misukosuko alopitia na huyo bwanake.

Na shoga ang nawe una moyo uko nae hadi leo dah kweli we mvumilivu mamy.

Ukute unajzbia rizk tu hapo,tangu kipind kile tunakushaur temana nae huyo ungekua ushajipatia mwingine mwenye afadhali.
 

Na nahisi bamkwe hataki koz share ya pesa itapungua mana jamaa itabidi asimamie show za familia yenu mpya mtayoanzsha
 
Ndoa inakuwa na baraka endapo kama INA BARAKA na ridhaa za wazazi!
Ila mzazi ni mwanadamu maneno yake sio msahafu wala biblia iwe ni sheria atakacho sema zipo mbinu nyingi za kuweza kumshawishi aweze kukubali hilo jambo likafanyika haraka
 

Na hapa u lied kua ushaolewa
 
Kwani hutongozwi na wengine shoga ang,i wish upate ya courage na guts za kuachana na hilo dubwana

Anyways mambo ya hisia bana kushaurika hua ni ngumu
 
Huwenda una tutabia tabia twa hovyo ndo mana Mzee anataka mwanae ajiridhishe. Mzee yuko sahihi, na kama nyie manunda fungeni bila kumshirikisha.. Namna unavyolalamika unaonekana ni mke mwenye gubu sana.
si bure baba mkwe Kuna kitu ameona
 
Back
Top Bottom