Huyu Baba Mkwe simuelewi kabisa, saa sita au saba usiku eti anampigia simu bintie, kha, umelala usingizi unashtuka simu inaita au mtu anaongea na simu, haya mwenzetu nani huyo usiku huu, oooh Baba anatusalimia!!! Saa hizi!!!
Haya kuna siku kaja, mmmh niko zangu job wife yeye karudi mapema ile narudi namkuta Mkwe kavaa pensi tu miguu iko juu ya sofa mgongo uko chini ya sakafu kwenye jamvi, bintiye yuko sofa ya jirani wanapiga story!!!!!! Sina mawazo mabaya but huyu dingi jamani na hii mikao yake mbele ya binti yake!!! Yaani umevaa pensi halafu miguu juu, kweli si maeneo yote hatarishi yanakua exposed???
Mara oooh wewe Suzy wewe (Ni Housegirl-sio jina lake halisi) nataka nikuoe, nataka Mama fulani (mke wangu) nimtafutie Mama mdogo, naona wewe unafaaa....kwakweli ananinyima raha bhana, yaani mtu aje kwenye himaya yako halafu anaongea huu mchuzi huu, ahaaaaa
Haya kama kawaida yake, muda wa kuondoka lazima ampetipeti mke wangu, mara ooh baba fulani wewe pumzika tu subiri mama nanihii anisindikize.....mmmh haya basi Mama msindikize kwa gari baba hadi hapo kituoni, eti hapana ngoja tutembee tu, kuanzia saa moja kasoro hadi saa mbili ndio anarudi kumsindikiza baba, distance ya dakika kumi hadi kituoni????
Jamani, jamani sihisi chochote but huyu Dingi huyu nitakuja kumkata kidevu, Nice weekend,
subiri yakukute uone, yetu macho tu
Haahaaa kuna baadhi ya madingi tz yamekengeuka, mkuu kuwa makini, hapo kama hajamtafuna basi anataka kumtafuna!
Mwambie mkeo kwasauti kiume kuwa ni MARUFUKU kuchekacheka na baba yake, MARUFUKU baba yake kumpigia simu usiku labda kuwe na msiba hata hivyoo akitaka kupiga basi apige kwenye namba yako!
Kuna kaugonjwa umekalea wewe mwenyewe mkuu, HATA siku moja usimrusu mkeo amsindikize mkweo!
Labda nikufahamishe, kwa imani yangu ya Kirasta Fari na mila ya kabila langu la Kizanaki ni kuwa mwanamke akishaolewa mamlaka na udhibiti WOTE unakuwa kwa mumewe,
Wazazi wake chochote wanachotaka kumwambia au kukifanya kwa binti yao (mke wangu) ni lazima wapate kibali kwangu!
Mkuu badili mfumo wako wamaisha, MPIGE marufuko mkweo kuja hapo kwako bila sababu maalumu na akihitaji kuja kuongea na mwanae aombe kibali kwako na ikiwezekana shinda zake zote azifikishe kwako na wewe ndio utaamua kumfikishia mkeo!
NB
Tambua kuwa huyo ni MKEO wako wewe, wewe ndio mwenye mamlaka ya mwisho iwe mbinguni ama duniani! Ukisema NO na iwe NO kweli!
Ukicheka na NYANI utavuna mabua mkuu!
Haahaaa kuna baadhi ya madingi tz yamekengeuka, mkuu kuwa makini, hapo kama hajamtafuna basi anataka kumtafuna!
Mwambie mkeo kwasauti kiume kuwa ni MARUFUKU kuchekacheka na baba yake, MARUFUKU baba yake kumpigia simu usiku labda kuwe na msiba hata hivyoo akitaka kupiga basi apige kwenye namba yako!
Kuna kaugonjwa umekalea wewe mwenyewe mkuu, HATA siku moja usimrusu mkeo amsindikize mkweo!
Labda nikufahamishe, kwa imani yangu ya Kirasta Fari na mila ya kabila langu la Kizanaki ni kuwa mwanamke akishaolewa mamlaka na udhibiti WOTE unakuwa kwa mumewe,
Wazazi wake chochote wanachotaka kumwambia au kukifanya kwa binti yao (mke wangu) ni lazima wapate kibali kwangu!
Mkuu badili mfumo wako wamaisha, MPIGE marufuko mkweo kuja hapo kwako bila sababu maalumu na akihitaji kuja kuongea na mwanae aombe kibali kwako na ikiwezekana shinda zake zote azifikishe kwako na wewe ndio utaamua kumfikishia mkeo!
NB
Tambua kuwa huyo ni MKEO wako wewe, wewe ndio mwenye mamlaka ya mwisho iwe mbinguni ama duniani! Ukisema NO na iwe NO kweli!
Ukicheka na NYANI utavuna mabua mkuu!
....kabla hujaufuata huu ushauri jiulize mkeo akipiga marufuku wazazi wako utaichukulia vipi.....unless kama unajiandaa kutengenezq ufa kwenye ndoa yako..........
Ndo RAHA YA KUOA WATOTO WA MASAKI HIYOOOO!!!!!!!! Dady! Dady! Dady! 24/7, Hata mkijamba humo ndani uatsika Dady!!!! Sio sie FATHER! Akirudi WOTE MNAKAA MIKAO YA KUJENGA TAIFA!!!!!!!!! Akiondoka ndo uuuuuuuuuh! Mnahema! FATHER KAMA CHLOROQUINE!!!!! Ukiolewa unasema THANKS GOD! Nitarudi nyumbani KUTEMBEA!!!!!!!! Kwako haji ngoooo! Usipomuibukia kumpa HI! Baaaaaaass!!!
Think on the postive side, siku hamna HELA YA MBOGA, Dady will JUMP IN TO HELP ASAP!!!!!!!!
Inaelekea unatoka katika familiar Baba akiingia hata sisimizi anafyata mkia. Hukuwa na chance ya kucheka, kuongea mazungumzo ya kawaida na hata kutaniana na Baba. Akiondoka ndiyo vicheko na maongezi. Lakini mwenzako hakutoka huko.
Ni lazima tukubali tofauti zetu ili kuepuka migongano isiyo ya lazima
Napata shida sana kuupokea ushauri wako, subiri siku nitamwambia mwanae kuwa sipendi tabia ya mzee