Huyu baamedi ananipenda kweli?

Labda anakupenda kweli. Muangalie muelekeo wake kwanza pia jaribu kuweka nae ratiba.. Kutom*** sio sifa..
Cha mwisho usisahau kwenda nae kupima
 
Habarini za kazi wakuu,

Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.

Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.

Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.

Usisahau wazinzi mwisho wao ni katka ziwa liwakalo moto......!! Shauli yako katubu umrudie Mungu bado anakupenda na wala co huyo baamed.
 
duh embu mchunguze vizuri huyo baa medi ili ujue kama anakutakia meme kweli?
 
Habarini za kazi wakuu,

Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.

Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.

Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.

PICHA IKO WAPI MKUU
UIWEKE HAPA?
 
kwa hiyo ulipomtongoza ulikua unataka nini? wanaume bwana. mkipewa papuchi mnakuja kusemelea mkinyimwa papuchi mnakuja kusemelea. wanaume wa dar taabu tupu
 
Duh huna kinyaa wewe barmed,aisee i wsh ungesoma makala waliyoitoa kweny gazet la mwananchi jins mabarmed wanavyoishi naona ungejiogopa mwenyew kabla ht ujapima afya yako
 
Habarini za kazi wakuu,

Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.

Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.

Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.
anakupenda sana uyo! ndio maana anataka muende wote kaburini, anaogopa atukua mpweke pekeyake!
 
Habarini za kazi wakuu,

Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.

Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.

Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.
Anakupenda mno mkuu, anakuhusudu haswaa! Nawe mpende zaidi ya hapo. Mpe support yako sana katika kazi yake ngumu na yenye changamoto nyingi.
Hebu pia jaribu kuongelea namna mnavyoweza kubadili kazi, mpate hata mtaji na kufanya ujasiriamali. Hii yote itakuwezesha kulala kwa wakati na kuamka ukiwa hujachoka sana. Mjali sana Mtoto wake na mtunze vema. Kumbuka mkifanikiwa kuzaa atamtunza pia mwanao. Kuna mdau hapo kagusia suala la kupima afya zenu. Hili la muhimu sana. Ili sasa kama mmepata maambukizi (sio lazima awe yeye kakuambukiza) mjue namna ya kuishi kwa matumaini.
Hongera sana mkuu kwa namna ulivyojitoa, wapo jamaa wengi tu ambao walienda bar kama kuopoa watu wa kupooza tu lakini hadi sasa wanaishi vizuri kabisa kwa utulivu.
 
kwa hiyo ulipomtongoza ulikua unataka nini? wanaume bwana. mkipewa papuchi mnakuja kusemelea mkinyimwa papuchi mnakuja kusemelea. wanaume wa dar taabu tupu
Ukiangalia katika uandishi wangu nafanania hata robo na wanaume wa dar mkuu...?
umenidhalilisha sana kunifananisha na hao watoto wa mama
 
Duh huna kinyaa wewe barmed,aisee i wsh ungesoma makala waliyoitoa kweny gazet la mwananchi jins mabarmed wanavyoishi naona ungejiogopa mwenyew kabla ht ujapima afya yako
acha hizo mkuu wengi tuu wanajiheshim Ile ni kaz kama kazi nyingine pia ukimchukua barmed huwez piga kavu pia huwez kukubal dry hata siku moja mkuu wenye ngoma ni wanafunzi maana utasema huyu mdogo hajaukwaa unapiga dry unaukwaa
 
Duh huna kinyaa wewe barmed,aisee i wsh ungesoma makala waliyoitoa kweny gazet la mwananchi jins mabarmed wanavyoishi naona ungejiogopa mwenyew kabla ht ujapima afya yako
Ungefanya na ww utafiti wako kisha ndo ungeandika hivyo.umalaya ni hulka ya mtu....wapo mabaamedi wengi wanaeshimu kazi yao na wanaishi maisha mazuri na so wahuni,km mleta uzi hapo kasema wanaenda kwake kulala sasa huyo halali ghetto,kuna wadada huku maofisini wana degree zao lkn washapitiwa wanaume zaidi ya kumi ktk ofc moja,bado huko mitaani!
 
Anaweza kuwa ana kupenda kweli koz huo ubar maid ni kazi kama kazi zingine japo wengi huwa tuna zichukia kuwa ni kazi za watu flani wasio na nidhamu ila huyo mdada anaweza kuwa ni mtu ana jiheshimu vizuri tu
Pokea like yangu...you are great thinker...
 
Ukiangalia katika uandishi wangu nafanania hata robo na wanaume wa dar mkuu...?
umenidhalilisha sana kunifananisha na hao watoto wa mama
samahani mkuu kwa kukudhalilisha. kumbe uko kijijin unakula dona na mihogo ndio maana baamedi amekolea
 
Back
Top Bottom