Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,895
Labda anakupenda kweli. Muangalie muelekeo wake kwanza pia jaribu kuweka nae ratiba.. Kutom*** sio sifa..
Cha mwisho usisahau kwenda nae kupima
Cha mwisho usisahau kwenda nae kupima
Habarini za kazi wakuu,
Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.
Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.
Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.
Habarini za kazi wakuu,
Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.
Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.
Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.
Muoe kabisaBado mkuu
anakupenda sana uyo! ndio maana anataka muende wote kaburini, anaogopa atukua mpweke pekeyake!Habarini za kazi wakuu,
Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.
Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.
Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.
Anakupenda mno mkuu, anakuhusudu haswaa! Nawe mpende zaidi ya hapo. Mpe support yako sana katika kazi yake ngumu na yenye changamoto nyingi.Habarini za kazi wakuu,
Ni hivi kuna baamedi mmoja hivi nilimtokea siku za hivi karibuni na mambo ikatiki nikamgegeda siku ileile na mara nyingi zaidi huwa anapenda niende kwake kwani anadai hana mpenzi mwingine kabisa zaidi yangu na ikumbukwe tayari ana mtoto mmoja.
Sasa tatizo nikimnunulia hata vinywaji hataki nikigegeda nikimpa hata za sabuni hataki yaani kazi yake amenifanya mimi kama sexy machine tu. Anataka nimpande kila siku yeye ndo anihonge vinywaji na hela huku akidai ananipenda sana. Imeshakuwa shida sasa kulala saa 9 kuamka saa moja kwenda job na uchovu mwingi halafu yeye anadai eti ananipenda.
Ebu niambieni wakuu manake nisipoenda kwake kesho ni ugomvi hadi baa nzima washajua nagongaga ananipenda au ana kijidudu kinamuwashaga anataka niaribia tu kazi.
Ukiangalia katika uandishi wangu nafanania hata robo na wanaume wa dar mkuu...?kwa hiyo ulipomtongoza ulikua unataka nini? wanaume bwana. mkipewa papuchi mnakuja kusemelea mkinyimwa papuchi mnakuja kusemelea. wanaume wa dar taabu tupu
Kapime UKIMWI kwanza utuletee majibu maana upo kwenye risk kubwa, demu gani umtongoze siku hiyohiyo na ummege...
acha hizo mkuu wengi tuu wanajiheshim Ile ni kaz kama kazi nyingine pia ukimchukua barmed huwez piga kavu pia huwez kukubal dry hata siku moja mkuu wenye ngoma ni wanafunzi maana utasema huyu mdogo hajaukwaa unapiga dry unaukwaaDuh huna kinyaa wewe barmed,aisee i wsh ungesoma makala waliyoitoa kweny gazet la mwananchi jins mabarmed wanavyoishi naona ungejiogopa mwenyew kabla ht ujapima afya yako
Ungefanya na ww utafiti wako kisha ndo ungeandika hivyo.umalaya ni hulka ya mtu....wapo mabaamedi wengi wanaeshimu kazi yao na wanaishi maisha mazuri na so wahuni,km mleta uzi hapo kasema wanaenda kwake kulala sasa huyo halali ghetto,kuna wadada huku maofisini wana degree zao lkn washapitiwa wanaume zaidi ya kumi ktk ofc moja,bado huko mitaani!Duh huna kinyaa wewe barmed,aisee i wsh ungesoma makala waliyoitoa kweny gazet la mwananchi jins mabarmed wanavyoishi naona ungejiogopa mwenyew kabla ht ujapima afya yako
Pokea like yangu...you are great thinker...Anaweza kuwa ana kupenda kweli koz huo ubar maid ni kazi kama kazi zingine japo wengi huwa tuna zichukia kuwa ni kazi za watu flani wasio na nidhamu ila huyo mdada anaweza kuwa ni mtu ana jiheshimu vizuri tu
samahani mkuu kwa kukudhalilisha. kumbe uko kijijin unakula dona na mihogo ndio maana baamedi amekoleaUkiangalia katika uandishi wangu nafanania hata robo na wanaume wa dar mkuu...?
umenidhalilisha sana kunifananisha na hao watoto wa mama