ndio hao hao,azam ni timu ya kawaida ila inajivimbisha tu.Wanaofuatilia asfc naomba kujuzwa kama Azam aliyepigwa 4-1 jana na SBS ni huyu huyu azam wa sopu, mbombo na dube
ndio hoyohiyoWanaofuatilia asfc naomba kujuzwa kama Azam aliyepigwa 4-1 jana na SBS ni huyu huyu azam wa sopu, mbombo na dube
Hii hapaWanaofuatilia asfc naomba kujuzwa kama Azam aliyepigwa 4-1 jana na SBS ni huyu huyu azam wa sopu, mbombo na dube
Azam huyu huyu aliyempiga kolo apigwe 4 na singida bush stars kweli?Ni Azam ya chamazi