kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,092
Mshambuliaji Prince Dube raia wa Zimbabwe ametangaza kuachana na Azam FC baada ya kudumu klabuni hapo kwa miaka minne.
Hivi karibuni zilitoka taarifa za mshambuliaji hiyo kuomba kuondoka, Azam FC walithibitisha taarifa hizo na kuweka wazi kuwa hawamzuii ilataratibu zifuatwe.
Mchezaji huyu kwenye mechi ya jana dhidi ya Coastal Union [FT 1-1] hakuwa sehemu ya kikosi na leo asubuhi ametangaza kuondoka Klabuni hapo.
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Hivi karibuni zilitoka taarifa za mshambuliaji hiyo kuomba kuondoka, Azam FC walithibitisha taarifa hizo na kuweka wazi kuwa hawamzuii ilataratibu zifuatwe.
Mchezaji huyu kwenye mechi ya jana dhidi ya Coastal Union [FT 1-1] hakuwa sehemu ya kikosi na leo asubuhi ametangaza kuondoka Klabuni hapo.
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app