Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

Huyu ananipenda kweli au ndo walewale?

stuka bibie,hapo hakuna kitu.
mwanaume gani wa kujifanya yupo busy hadi anakusahau......kiufupi hilo ni zigo tena la miiba na km ni chaka basi ni pori kbs,stuka kabla hujapotelea humo porini.
Yaani nakushukuru ulinishtua nkashtuka analudi ubusy umeisha mi kitambo si wake
 
Wanachuo hawana hela, kama ulikuwa unategemea chochote hesabu ni zero Mama. Don't love to that much extent
 
Kwa Wanaume tu... nauza Apps Inafanya kazi ya ku reply msg na asubuhi hutuma msg yenyewe na kama good morning honey...n.k utakavyo mwenyewe tu bei ni laki moja tu
 
Kwa Wanaume tu... nauza Apps Inafanya kazi ya ku reply msg na asubuhi hutuma msg yenyewe na kama good morning honey...n.k utakavyo mwenyewe tu bei ni laki moja tu
Wanawake haturuhusiwi boss
 
Kwa sababu unatumia moyo kufikiri badala ya kichwa sitakushauri chochote ila jamaa hana mda na wewe pole.
Asante ndugu niliamua nitumie kichwa kifikiri fasta nkapata jibu
 
Yaani ni kwamba haupo moyoni wala akilini mwake...sasa wewe cha kufanya delete kila kitu kumhusu then msahau milele, nina kanuni ndogo huwa naitumia waeza itumia pia..'mtu akikukataa na wewe mkatae' .
Nimekuja kukushukuru kwa kanuni hii kwa kweli inafanya kazi fasta ubarikiwe sana
 
dah kama keshakula tumbua basi tena kaona sukari haikuwekwa ndo maana hataki tena...pole mama...jaribu mie mwenye kisukari nakulaga vitumbua sukariless
Haaaaaa jamani mtu anastress ila unaamua uziondoe kwa stairi hii haaaa umenishinda tabia mkuu
 
Wanachuo hawana hela, kama ulikuwa unategemea chochote hesabu ni zero Mama. Don't love to that much extent
Sikutegemea chochote toka kwake mkuu mi nikipenda napenda maana amli ya kupenda tumepewa na Muumba sasa nashangaa wanaume ukimpenda mtu wa kawaida analeta nyodo ukipenda vibopa ohhh kapenda pochi jamani ndo maana nasema moyo sukuma damu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom