Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
- Thread starter
- #21
Kwani dawa yake ni nini?.Ukurutu mpwa
Kwani dawa yake ni nini?.Ukurutu mpwa
Ndio nini mkuu?.Enterobiasis
Mkeka unachanika mpaka na rinda?Mkeka itakuwa umechanika...😂
Dawa yake Akunwe kama Nazi vile.Kwani dawa yake ni nini?.
Kha!,kha!,khaaa!.Dawa yake Akunwe kama Nazi vile.
Kweli kabisa.Mmonyoko wa maadili ni kansa inayotafuna jamii yetu.Hili ni funzo hasa kwa wazazi kwamba kuanzia chini tunapaswa kuwafunza watoto kwamba kuna vitu ambavyo si sawa kuvifanya hadharani.
Umeona wamevulugwa kabxaDaaah watu wanajitoa ufahamu waziwazi
acha tuUmeona wamevulugwa kabxa
Habari za Lushoto Queen M? Nasikia Lushoto hali yake ya hewa kama Ulaya. Natamani kufika nijionee mwenyewe.acha tu
Fungus hizo,bora hata hii Corona imetuletea ustaarab mpya wa kutosalimiana kwa kupeana mikono
Ndio useme mnasalimiana kwa kushikana mikono.dah. hatar sana
Ni sheeda.Ndio useme mnasalimiana kwa kushikana mikono.dah. hatar sana
Hii kupeana peana mikono kusalimiana inabidi wakati mwingine kupotezea yaani.Ni sheeda.