KakaKiiza JF-Expert Member Feb 16, 2010 11,578 8,600 Oct 27, 2011 #1 Jambawazi la kutupwa anapiga kitu cha AR
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Oct 27, 2011 #2 duh! 15 tu atakuwa tishio nchi nzima.
Mmasi Senior Member Oct 26, 2011 164 15 Oct 27, 2011 #3 Mi nadhani akikuwa itategemeana na mazingira atakayo ya kuta kwani wapo watu wanao badilika mfano pawamangwa,Lowasa are there
Mi nadhani akikuwa itategemeana na mazingira atakayo ya kuta kwani wapo watu wanao badilika mfano pawamangwa,Lowasa are there
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Oct 27, 2011 #4 Mama wewee.,.. Akikua atakuwa balaa zaidi huyo
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,511 11,271 Oct 27, 2011 #6 Daffi said: Mnakosea!akikua ataacha Click to expand... nimeipenda hii..