fergusonema
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 119
- 15
Kweli kamanda Sangarara,
Najua hiyo comment ipo very radical, lakini tupo JF where we dare to talk openly. Na mawazo yangu tukwasababu najua makamanda wa mitaani tulivyo choka harafu mtu atuzingue. Hili sio tisho. Namoenda Zitto illa nataka kumjurisha kuwa kama yasemwayo ni ya kweli, inabidi abadirike na aache haraka.
Bora ninaye sema wazi, kuliko anaye ficha.
hivi wewe hata kiswahili chenyewe hujui halafu eti unamtisha Zitto wewe unapata wazimu au,toka kule mapanzi tu nyie aliewaroga kafa muache siasa za kitoto na hamna hadhi ya kumtisha Zitto