AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Bravo my hero Ben Saanane.
Last edited by a moderator:
Wamenibagua mimi na wana mbeya wenzangu
Juliana shonza
Mwampamba
Oparation zote wanaenda wachagga waliohamia chama juzi ally bananga na james millya wanatuacha sisi tuliokijenga chama kwa mda mrefu
Soma gazeti la mwananchi la leo wameandika eti ally bananga ni kiongozi
Hahaaa ndo maana tuna imani na zitto maana yeye ni mtengwa mwenzetu hawezi kutuacha wala kutukimbia tunamwaminia tunamuhitaji
Hata kwenye ziara zake za ujenzi wa chama huwa hatuachi tunaenda naye!
Zittooooooooooooooo wewe ndio kimbilio la wanyonge masikini
Na haya yote kuhusu Zitto yanaweza kuwepo lakini hayana uhakika. Huwezi kumsulubu mtu kwa swala ambalo halina uhakika. Kama kuna evidence, tafadhari mwaga hapa kamanda. Mi naona huyu Zitto twende naye hivi hivi kwa maslai ya chama. M4C inatisha na hakuna wa kuisimamisha. Kama kweli Zitto anafanya haya, ajue watanzania wanataka mabadiliko, asipo kuwa muangalifu wanaweza kumchinja hazarani.
Samahani kwa radical comment, lakini ndio ukweli. Watu wanataka ukombozi harafu unawazingua. Nacho kiona ni mauti kwa msaliti, sana sana mtu ambaye yupo ktk uongozi wa juu kabisa. Namshauri Zitto kama haya ni ya kweli awe muangarifu na aache haraka. Kwenye ukombozi kuna muda watu hawatumii logic, ni emotional. hivyo basi, asije akashangaa anachinjwa hadharani.
Ni mawazo tu sio vitisho. Na hilo ndilo ninalo ona mimi kwa mtazamo wangu.
Kuwa mkweli usipotoshe historia labda useme ulikwa bado mdogo, mfumo wa vyama vingi ulipoanza rasmi, mwl.nyerere kwa kauli yake alisema; nimepitia katiba za vyama vyote chama makini ni kimoja tuu.NI CHADEMA pengine pitia machapisho zaidi utabaini CDM haikuwahi kuwa at elvel of personal NGO
Hii sredi imejaa ukweli na inaelezea hali halisi ya wasaliti wanaoongozwa na Zitto. Hongera sana bwana Saanane kwa kuliweka taifa lako mbele.
Hakuna asiyejua kuwa Zitto Zuberi Kabwe ni msaliti. Yeye anaungwa mkono na Habibu Mchange na Burton Gwakisa. Hawa ni wasaliti.Lakini,hata Yesu aliishi na wasaliti hadi mwisho
MKUU hii email nimeipokea na kuiweka kama ilivyo.
zitto ni rais kwa kusini mwa tanzania,Mhh kijana anakubalika kweli kweli.Dalili za mvua ni......_____________
Zitto anangekewa????Duhh kutoka Kigoma to Mtwara anaitwa Rais?Hongera zitto kabwe,unaonekana wewe si mtu wa kawaida nchini
Rais Bungeni,Kusini Mwatanzania,Kigoma na mwaka 2015 siatakuwa rais wa nchi nzima!!!!
Mkuu chadema wote wanashinda humu.nadhani ujumbe umewafika wote.Amemuagiza Zitto kwa sababu amesema nanukuu"Muheshimiwa rais mungu amekujalia wewe binafsi kuwa na huruma hebu tuhurumie sisi vijana wa Mtwara, hebu tumia hiyo huruma yako kuiokoa Tanzania, hebu tumia huruma yako kuondosha balaa, na katika hili usimuamini mtu njoo uongee na sisi wamachinga, uongee na sisi bodaboda na wengine wengi"
Salama kabisa mkuu Shard Cole.
Naona bila kumtaja Juliana Shonza huna raha.
Watu wa mtwara wamepeleka kilio chao kwa rais wao Zitto kabwe we unaanza kutaja taja majina ya watu.
Au hujui kwamba Zitto ndie rais ajae?
Mikoa yote ya kusini watampa kura maana Mbeya mlikokuwa mnategea ndo washamshtukia mzee wa kadi mbili mbili.
Kanda ya ziwa wazee wa kura nyingi wao mnawajua msimamo wao kitambo.
Hiyo Arusha mnayoitegemea hamuwezi pata kura zote mtagawana na Zitto nadhani mnakumbuka mapokezi ya rais ajaye Karatu miezi michache iliyopita!
Zitto go go go goooo!
your votes count!
Your votes count!
Ni kweli mkuu rais anajulikana.
Tzzk 2015
sio kupoteza maana.ukweli ni kwamba zitto anaonekana kukubalika kitaifa zaidi from kigoma tu mtwara..muda si mrefu utasikia rombo
umenena vema mkuu ni zamu ya Dr. Slaa kumsaidia Zitto kampeni 2015 maaba yeye ameshawasaidia Mbowe na Slaa.
Ila tumuombe arejeshe kadi yake CCM kwanza.
Tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
There are currently 98 users browsing this thread. (31 members and 67 guests)
- Muumini safi,
- idawa,
- Zitto, (nakuona Mh.Rais unakula jaramba hapa,Hongera sana mkuu naona umeteka ngome kusini mwa Tanzania,Hapo hujafanya ziara,je ukifanya ziara huko?)zitto mbona unakubalika sana,unapaka mafuta gani wewe?
- Welu,
- Quadrat Jr,
wewe hunauwezo wa kumzuia Zitto kuingia Ikulu,Kigoma nadhani wana kucheka kuona unapita mtupu karikaoo mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
ZItto ni next level
Umetumwa wewe,Huna hoja unatapatapa tu.Ukiulizwa unachojadili ninini?kinamaendeleo gani kwa taifa hunajibu zaidi ya kuchekacheka.
Zitto ametukuka huko mtwara kapewa ujumbe wake,Wewe na nape kaeni chonjo,2015 ikulu hiyo
Zitto Zuberi Kabwe anakubalika sana pande hizo!
Mara ya kwanza kulisikia jina Saanane ilikuwa ni katika uchaguzi wa BAVICHA miaka kadhaa iliyopita ambapo uchaguzi huo ulimpa ushindi bwana John Heche.