Huyo Kipemba anaechangishiwa Tsh 100 milioni ni nani?

Marathon day

JF-Expert Member
Jan 31, 2020
573
893
Huwa nasikia tumchangie sijui Jack Kipemba Yuko India, sijui ni nani mpaka kuchangiwa pesa yote hiyo na wananchi ambao ni masikini wa kutupwa.

Badala ya Serekali kuchangia au taasisi nyingine za dini kuliko sisi wanachi walalahoi, nijuavyo Mimi wasikilizaji wa Radio wengi ni watu wa Hali ya chini, na kumuweka Dr Isaac Maro nadhani ni kuwachosha wachangiaji wadogo wadogo wa kipindi chake cha NJIA PANDA.

Itafijia hata watu wadogo wenye uhitaji wa Laki mpaka milioni watakosa kuchangiwa kwa watu kukata tamaa! Mawazo yangu tatizo lake lingegharamiwa na serikali, na sisi wachangiaji wadogo wadogo tuachiwe hawa wahitaji wa pesa hizi ndg ndg. Dr Isaac ustumike vibaya mpaka ukapoteza mvuto wako kwa wasikilizaji wako, matatizo ni mengi na TOZO zimeshatuchanganya ujue.

Hali ni mbaya
 
Marekebisho hapa ni, Tarik Kipemba
Kijana mmoja hivi wa moshi...alimwagiwa tindikali usoni na wasio julikana...akapelekwa hospital ya KCMC kwa ajili ya matibabu...wakashindwa akawa transfd India ambapo ilikuja bainika kuwa...ile tindikali imeathiri sana mifumo ya mishipa ya faham ya macho kupelekea kutokuja kuona tena...familia ilijitahid kwa gharama za awali na taktiban mil 50 zilikwisha tumika...bila mafanikio

Ingawa madactari nchini india wamereport kuna uwezekano wa Tarik kuja kuona lakin kwa jicho moja...hivyo basi wanampambania kwa hilo...ingawa gharama itakuwa kubwa sana....hivyo familia imeshindwa kuzimudu na kuwaomba watanzania msaada caz kijana aweze ona nuru tena...Ni hayo tuu

Na kuhusu kwa nn anapata air tym clouds mara kwa mara...ni hiv Tariki moshi alikuwa akiishi na bibi yake...na mama yake mdogo ni mmoja wa wafanyakaz wa clouds...na hyu mama yake mdogo ndio anamuuguza Tarik...hivyo nahis ndio maana wameamua kumtangaza mara kwa mara..

Hayo ndio ninayo yafaham...kwa watao guswa...namba za sim, na acc namba yake wasikilize clouds mara nyingi huwa wanazitaja.
 
Ila hizi gharama za matibabu huko India zinatumaliza sana WaAfrica, hivi viongozi wa Africa hawawezi kukaa kikao na kujenga lihospitali limoja hapa Africa lenye facilities na madaktari bingwa wengine wakiajiriwa kutoka huko huko india na kusomesha vijana wetu wa kiaAfrica na waAfrica wote watibiwe hapo?
 
Ila hizi gharama za matibabu huko India zinatumaliza sana WaAfrica, hivi viongozi wa Africa hawawezi kukaa kikao na kujenga lihospitali limoja hapa Africa lenye facilities na madaktari bingwa wengine wakiajiriwa kutoka huko huko india na kusomesha vijana wetu wa kiaAfrica na waAfrica wote watibiwe hapo?
Umewaza vizuri sana
 
Kijana mmoja hivi wa moshi...alimwagiwa tindikali usoni na wasio julikana...akapelekwa hospital ya KCMC kwa ajili ya matibabu...wakashindwa akawa transfd India ambapo ilikuja bainika kuwa...ile tindikali imeathiri sana mifumo ya mishipa ya faham ya macho kupelekea kutokuja kuona tena...familia ilijitahid kwa gharama za awali na taktiban mil 50 zilikwisha tumika...bila mafanikio

Ingawa madactari nchini india wamereport kuna uwezekano wa Tarik kuja kuona lakin kwa jicho moja...hivyo basi wanampambania kwa hilo...ingawa gharama itakuwa kubwa sana....hivyo familia imeshindwa kuzimudu na kuwaomba watanzania msaada caz kijana aweze ona nuru tena...Ni hayo tuu

Na kuhusu kwa nn anapata air tym clouds mara kwa mara...ni hiv Tariki moshi alikuwa akiishi na bibi yake...na mama yake mdogo ni mmoja wa wafanyakaz wa clouds...na hyu mama yake mdogo ndio anamuuguza Tarik...hivyo nahis ndio maana wameamua kumtangaza mara kwa mara..

Hayo ndio ninayo yafaham...kwa watao guswa...namba za sim, na acc namba yake wasikilize clouds mara nyingi huwa wanazitaja.
Duuh jamani. Ndo yule kaka mmoja hivi kama shombe shombe?
 
Ni nani hao walimwagia? Wangekamatwa wavunjwe vunjwe viungo maini figo ziuzwe wamtibie kaka wa watu
Ya dunia haya...mimi nilijiuliza kwa nn amwagiwe...caz mama yake mdogo alipofanya mahojiano na kile kipindi cha njia panda...alisema mwanae hana makundi, hatumii vilevi...na ndio kwanza alikuwa anafungua kampuni ya utalii..na hata baadhi ya matibabu alisaidiwa na marafik zake Talik walio kuwa nje ya nchi (watalii) lakin na wenyewe imefika sehemu wanazidiwa.
 
Ila hizi gharama za matibabu huko India zinatumaliza sana WaAfrica, hivi viongozi wa Africa hawawezi kukaa kikao na kujenga lihospitali limoja hapa Africa lenye facilities na madaktari bingwa wengine wakiajiriwa kutoka huko huko india na kusomesha vijana wetu wa kiaAfrica na waAfrica wote watibiwe hapo?

Nahisi shida ni wataalamu tu.

Hospital za india ukiziona kwa macho hata agakhan nzuri...ila wagonjwa wa kimataifa wanapata kibao.

Binafsi niliwai kwenda na mgonjwa apollo india.. yaani hospital ya kawaida sana kimajengoo.. ila huduma za uhakika na ma dr specialist kibaoo
 
Back
Top Bottom