Huwezi pata kila kitu maishani

Huwezi pata kila kitu maishani

Binadam ameumbwa kuwa msahaulifu sn fikiria maumivu tunayoyapata ya kufiwa au kudhulumiwa kwa namna yyte ila mwisho utasahau maumivu ya moyo yatapoa pumzi itashuka.je tusingekuwa tunasahau maumivu yaliyotokea tusingeishi mda mrefu
Ndivyo ilivyo binadam anasahau mabaya na mazuri yaliowahi kumtokea na si ajabu mtu uliemsaidia kwa hali zote ht alitaka kuuliwa akakugeuka baadae kutaka kukuua ww.mama yako amekulea miaka yote kwa shida ila kuna watu wanawatoa kafara kuwafanya mi sukule mama zao na kusahau mama alimvyompigania hadi kufika hapo
Nakubaliana na wewe mkuu na ndiyo maana wahenga walisema ''kikulacho kinguoni mwako''
 
Itategemea tafsiri yako ya mapenzi imeegemea upande upi...Kuna watu kutokana na kazi zao hawaruhusiwi kuwa na wapenzi mfano Mapadre...
Wasipoangukia kwenye mapenzi wanadakwa kwenye pesa maana nimeona Mapadre wengi wakiwekeza miradi mingi sana sasa kama kweli hawana familia wanawekeza kwa ajili ya nani?
 
Wasipoangukia kwenye mapenzi wanadakwa kwenye pesa maana nimeona Mapadre wengi wakiwekeza miradi mingi sana sasa kama kweli hawana familia wanawekeza kwa ajili ya nani?
Hapo Upendo wanaelekeza kwaajili ya jamii nzima maana wanakumbwa sana na UPWEKE
 
Ni kweli ila tukumbuke hazina yako ilipo ndipo na moyo wako ulipo
 
Back
Top Bottom