Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hahahahahah sawa ....Kesho
Hahahahahah sawa ....Kesho
Ila shunie anajitajidi kumaliza story hana arosto kali kama za hao wengine bruno the fisherman haieleweki makaburi yasokua na hatia tangu mwaka jana had leo shunie anajitahidi sana sanaBaada ya siku ngapi nawe utaanza tesa watu?![]()
-Ooooh umeme umekatika, wakuu laptop yangu haina charge. .. Niko Dodoma Area D wadau wa huku tuonane. .. Wakuu leo lazima niweke mzigo wote,... Wakuu leo nimechoka sana...na bla bla kibao..etc
Baada ya siku ngapi nawe utaanza tesa watu?![]()
-Ooooh umeme umekatika, wakuu laptop yangu haina charge. .. Niko Dodoma Area D wadau wa huku tuonane. .. Wakuu leo lazima niweke mzigo wote,... Wakuu leo nimechoka sana...na bla bla kibao..etc
Ila shunie anajitajidi kumaliza story hana arosto kali kama za hao wengine bruno the fisherman haieleweki makaburi yasokua na hatia tangu mwaka jana had leo shunie anajitahidi sana sana
Watu waliozoea arosto haoShunie hanaga hayo mambo utakua unamkosea.. Fuatilia stori anazoleta humu, wadau wake tunamfahamu..
Mbona hujanitagkweli yaan huyo ana ganzi ya arosto akiona story tu anajua yale yale