Nimerudi jamani muwe na amani
Hata mimi piaNayaangaliaga kama siyaoni![]()
Nilikuwa mdau mzuri sana wa majukwaa hayo lakini nilitoka kule kwa sababu ya majitu yenye akili mgando za LumumbaKoncho naona mods hawataki nipost jukwaa la siasa yaan nikitoka huko lazima tu ban inihusu jamani
Sasa me sio watu wanaonisababishia ban nikipost tu kwenye thread nakula ban nilichogundua mods hawataki niende siasaniNilikuwa mdau mzuri sana wa majukwaa hayo lakini nilitoka kule kwa sababu ya majitu yenye akili mgando za Lumumba
ahahah pole sana japo sijawahi kupata ban kuna siku moja kidogo nipate ban kwa sababu ya siasaSasa me sio watu wanaonisababishia ban nikipost tu kwenye thread nakula ban nilichogundua mods hawataki niende siasani