Ilitara kimura
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,885
- 1,865
Nilikuwa naenda kwa brother anakaa gongolamboto BANGURO pale kuna Mto unaitwa msimbazi kilichonishangaza ni kuona baada ya miaka hamsini ya uhuru wananchi wa maeneo halo hawana maji hivyo wanalazimika kuchimba mchangani ili waweze kupata maji naomba tujadili kwa pamoja Kama Dar hali iko hivyo vijijini itakuwaje maana hao inabidi wachimbe mchangani kwa sababu hawana wa kununua maji yanayoletwa na magari Ndoo sh 500/= wadau naomba tujadili Haya Ndiyo maisha bora kwa Kila mtanzania?o