Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

Wadudu na wanyama wakifa huwa wanaenda wapi?

Kwa akili zenu,siku hizi mnajifanya msioamini uwepo wa Mungu,ima kwa akili za kuoga au kutokusoma/kujifunza.
Kama alikuumba wewe kutoka kwenye shahawa za baba yako,hata ukiliwa na simba simba porini hashindwi kukufufua ukiwa kama alivyokuumba mwanzo.

Mungu anasema: atakufufueni kama alivyokuumba kwenye matumbo ya mama zenu.

Hata huyo kuku / ng'ombe unayemla Kila siku basi atafufuliwa kama alivyoumbwa mwanzo kabla hujamla
 
Back
Top Bottom