chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 971
- 1,969
salaam wakuu. Nna mwezi wa pili sasa namfukuzia huyu msichana na currently sina mahusiano so nna ugwadu wa hatari ila demu kachomoa na anasema nisimtafute wala kumpigia simu, ila mimi sikubali mpaka nione ndani. Wakuu nyie huwa mnafanyaje