Albahi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2020
- 480
- 579
We kweli ni kiungo mshambuliaji.Huyo ameonyesha wazi hayuko interested na wewe, kama amefikia kukuambia usimtafute wala kumpigia simu means hayupo tayari.
Unajua mademu huwa wana katabia kao, kwamba hata kama umemshushia mistari hatakuwa open kwa haraka kukukubalia lazima aonyeshe kausumbufu, ila kufikia kutotaka mawasiliano ni ishara tosha hayupo tayari kuwa na mahusiano nawe.
Na kuhusu muda wa kufukuzia demu, hakunaga muda maalumu unaotosha kuacha au kuendelea kufukuzia. Kitu kikuu ni kuusoma mchezo, kuna mademu huwa ni kama unapiga tu penalty tayari mechi inaisha kwa ushindi ila kuna mademu lazima ukubali kushambulia huku wakikaba, muda ukifika hata dk ya 89 unaweza kuondoka na points 3 muhimu.