raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 313
- Thread starter
- #21
mkuu hzi ni tamaa za kimwili tu ndugu, maana hata uchupuke vp unachokipata ni kile kile aseeeWewe uliyeta hii mada ukikua umri wa kuitwa mzee ndio utajua utamu wa wasichana wadogo,mke wangu mtu mzima,halafu nichepuke kwa mtu mzima mwenzangu?,nyumbani nimekimbia nini na huku nje nafuata nini?,halafu aliyekuambia watoto wa nyumba ndogo hawasomeshwi ni nani?,wanapata huduma zote stahiki kama wa nyumbani,mimi babu yangu alikua na wake wanne,mimi nina mke mmoja na mchepuko mmoja,sijamfikia marehemu babu yangu,tuendelezeni jadi zetu tuache uzungu uzungu