Huwa simbembelezi mwanamke!

Huwa simbembelezi mwanamke!

Hii zamani tulikuwa tunaita undava,na wanawake wakishakujua wewe ni wa kulialia wanasimuliana ulivyo dhaifu...
 
...ukifanya research kidogo hata kwenye mitandao wanaolalamika kugongewa ni hao wanajifanya kuwajali wanawake...sisi kundi letu sijawahi kutana na kesi ya kugongewa -
Nb:..mwanaume ukijielewa mwanamke hawezi kukufanyia ujinga hata aweje...huwaga wanakuwaga na sample zao za kuziendesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kugongewa mwanamke ni hulka ya mwanamke mwenyewe hakuna uhusiano wowote na kumjali. Wewe endelea na tabia(hulka) yako ndio maana unakutana na mnaofanana tabia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jokajeusi, Mkuu wewe kweli ni mwanaume?

Wanawake hawa ukijifanya kuwabembeleza mpaka kitandani kubadili staili atataka umnyenyekee wenyewe wanasema romantic.

Mwanamke ukijifanya kumbembrleza sana mwishowe ndo tunalalamika kuwa tunawanawake hawajui mapenzi,gogo kitandani ila hayo ni kutokana na kutaka wabembelezwe.
Huo ni ujinga.

Yani kula umtafutie,pakulala umpe,na mambo ya huduma zingine ufanye,ukirudi umechoka nyumbani alafu hapo kuna kazi ya kumbembeleza mkeo inakusubiri? Mbona huitaji diet wewe wiki tu untoka kuwa JB kwenda kuwa steve nyerere?

Hivi una habari kuwa wazee wetu wa zamani walikuwa wao ndo wanabembelezwa na mabibi zetu?hizi habari za kubembeleza anaziweza mwanamke,mwwnaume anajua kuhudumia.

Kitu pekee ninachokiona ambacho mwanaume hatakiwi kusita ni kuhudumia peke yake.
Yani mkeo akitaka kitu chochote,asikohoe tu wewe unatoa hela anaenda kununua hapo mwanamke atajikubali na atasahau kama kuna kubembelezwaga.

Ila hawa wetu mume hela huna anataka akuchune japo kwa kumbembeleza.

Kazi ya kubembeleza ni ya mwanamke na ndyo maana mimba habebi mwanamume kwa sababu mwanaume hajui kulea yeye anajua kuhudumia tu.

Mwanamke atakuendesha mbio kijana ukijifanya unabembeleza sana shauri yako.

Na ndyo maana wanaume wanachepuka sana unafikiri kule kwenye michepuko huyu mume ndo anabembeleza mchepuko au mchepuko ndo anabembelrza mume na kumpetipeti huku mume akiuhudumia vilivyo mchepuko?

Unafkiri mwanaume anaechepuka anatafuta mchepuko akaubembeleze?
Na huo mcheouko unadhani unatafuta kubrmbrlrzwa au huduma ya malazi?

Tuliza akili uwwze tena kijana,wanawake wanatuendesha mbio kwa sababu za kijinga za uromantic kumbe wao ndo wanatakiwa wawe romantic haswa kwetu,sisi tunatakiwa tusiwe na kauli kwao wakitaka kitu hata kukopa tikope,huko ndo kumtunza mwanamke.

Kubembeleza sana mwishowe anasahau kama anatakiwa ajitume kitandani matokeo yake utamaliza gemu na mtindo mmoja mtu hsts hsjiongezi anasubiri kubembelezwa tu.

Kuwa mwanaume unaewaza vizuri weye.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini usikae kwa baba yako na mama yako ukamuacha huyo mwanamke? Laa kaa mwenyewe,
chukua dads yako awe anakupikia, akiolewa chukua wazazi wako kaa nao hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaomsapoti wana machungu ya kutendwa mwanamke mbembeleze aisee ila isizidi sana ukiwa kauzu sana pia haipendezi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naunga mkono hoja yako 90℅
Ya kubembeleza ni pesa tu, ni ngumu kumridhisha mwanadamu. Wanaolalama kugongewa ni wale wanaojifanya kujali sana Ke huku return ikiwa ndogo.
Raha ya mahusiano mzani ubalance.

Mzani kamwe hauwez ku balance kwa kuwa upande mmoja lazima upende ( mwanaume) na upande mwingine utii na kuheshimu ( mwanamke) hapa ndipo raha ya penzi ilipo

Now days wanaume tunapoteza sana haiba ya kiume either kwa kujifanya manunda ( we are not romantic kama mtoa mada) au kupenda kupetiwa petiwa ( marioo)


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom