Huwa simbembelezi mwanamke!

Huwa simbembelezi mwanamke!

Kutokumbembeleza mwanamke ni Kutokujiamini na kutokujielewa. Mwanaume anayejitambua anajua moja ya majukumu yake ni pamoja na kumbembeleza mwanamke.

Mwanamke anabembelezwa anadekezwa, anapetiwa petiwa kama mtoto.

Tabia hiyo uliyonayo wanayovijana wadogo ambao ndio wanabalehe. Au wenye matatizo ya akili.

Mwanaume ndio habembelezwi.

Hayo mengine sijui ya kukimbiwa na wanawake kisa huna pesa au kufilisika hayo ni matokeo ya kutojitambua kwa mwanaume.

Huna pesa unaishije?
Huna kazi ya kufanya?
Haya yote huna bado usibembeleze?
Watu wanapesa na wanabembeleza kwa vile wanajua wajibu wao kama wanaume wewe unakuja na hadithi za watoto wanaobalehe hapa.

Tafuta mwanamke anayekupenda tena akiwa bikra alafu kuwa mwanaume kikamilifu uone dunia ilivyo tamu

Kwasasa utapata bikra za kuchonga


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukweli ndio uko hivyo, wanaume tupunguze tabia za kulialia, kuna midume mpaka wakati wa kupiga bao inapiga kelele yenyewe badala bidada ndie apigwe mkuyenge apige mayowe ya Utam, mnadhalilisha UANAUME mjue mxiuuuuu manina zenu. Kuweni makauzu waulizen akina Mabeste na Stamina kila wakat bebiiiii, mailavuuuu shwajn kabisa nyie.

Hilo neno ‘mxiuuuuu’ ndo limekutoa kwenye kundi unalolitetea, sijui kama ni neno ila ni la kike.... limenajisi ushauri wako.
 
Hio technic ukiwa nayo.
1.Inaongeza psychology ya kujiamini,ukiwa hivo unaweza mtokea mwanamke yeyote.
2.unakua na afya njema,unaanzisha mahusiano huku ukitegemea kitu chochote,yaani unaongozwa na logic tu.
3.wanawake siku zote wanapenda mwanamke wa namna hiyo,yaani mtu kwenye msimamo,mwanamume ambaye yupo tayari kuvunja uhusiano muda wowote bila kubembeleza na akaishi kwa amani tu kama hamna kilochotokea.
4.sababu ya hizo factors za juu,ni ngumu kuachana na wanawake waliopita.....yaani we hugombani na mtu akizingua unafanya yako,hamna kulia lia...akijirudi unaendeleza with the same formula.
5.ni ngumu kutekeleza familia ama watoto.....yaani upo real,ni logic tu ndio inakuongoza.
NOTE.
Mabaharia wote wanaomiliki wanawake wanaojielewa ndio lifestyle yao hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
content ya thread yako iko kama umetendwa, umeachwa au umesalitiwa.
ila ishi kupitia misimamo yako maana hakuna mwanamke atakayekuyumbisha
 
Hata Mimi nlkua ivo na nlienjoy such kind of life style mpaka nlipokuja kunasa na penz la mtto mmoja P kubembeleza cjwah kujua sanaa ila kujali na loyalty nliweza me naamini ni mapnz yako tu kama kwel mtu unampenda utamueshm na kumjali pia NI MAONI YANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokumbembeleza mwanamke ni Kutokujiamini na kutokujielewa. Mwanaume anayejitambua anajua moja ya majukumu yake ni pamoja na kumbembeleza mwanamke.

Mwanamke anabembelezwa anadekezwa, anapetiwa petiwa kama mtoto.

Tabia hiyo uliyonayo wanayovijana wadogo ambao ndio wanabalehe. Au wenye matatizo ya akili.

Mwanaume ndio habembelezwi.

Hayo mengine sijui ya kukimbiwa na wanawake kisa huna pesa au kufilisika hayo ni matokeo ya kutojitambua kwa mwanaume.

Huna pesa unaishije?
Huna kazi ya kufanya?
Haya yote huna bado usibembeleze?
Watu wanapesa na wanabembeleza kwa vile wanajua wajibu wao kama wanaume wewe unakuja na hadithi za watoto wanaobalehe hapa.

Tafuta mwanamke anayekupenda tena akiwa bikra alafu kuwa mwanaume kikamilifu uone dunia ilivyo tamu
usipotaja bikra siku yako haijakamilika kabisa yani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ina ukweli ndani yake. Girlfriend wangu namchunia, simjali kivile, nilishamwacha mara mbili na kurudiana naye lakini yeye ndio ananipenda zaidi amekufa ameoza

Sent using Jamii Forums mobile app
The more you love the more you suffer .. Mpe pole yake na wewe endelea na msimamo huo huo usije ukalegeza dogo aka ku hamida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wote nawachukulia kama unstable creatures, they are trouble makers, they are only to be used for pleasure.

tatizo lugha
 
Nakukarbia mkuu .......nikiweza kuiepuka tabia ya kutaka kuwaridhsha (kuonekana kidume)kwa pesa zangu zinazoptea kwnye kununua haya mavumbi ya wacongo basi kwisha habri yao mwendo wa ubinafsi tuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mkuu hela zitaisha halaf jamaa wanakimoa vumbi kidogo et elf5

tatizo lugha
 
Back
Top Bottom