Huwa simbembelezi mwanamke!

Huwa simbembelezi mwanamke!

...ukifanya research kidogo hata kwenye mitandao wanaolalamika kugongewa ni hao wanajifanya kuwajali wanawake...sisi kundi letu sijawahi kutana na kesi ya kugongewa -
Nb:..mwanaume ukijielewa mwanamke hawezi kukufanyia ujinga hata aweje...huwaga wanakuwaga na sample zao za kuziendesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeoa?
 
...halafu huwaga mnawasaliti kizembe mno-..juzi nilikuwa na mmoja hapo 40/40 analialia with the same issue.
....anavyomjali na kumnyenyekea mke wake utafikiri ni malkia...ila ndio kaliwa kizembe sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala sio kunyenyekea, mapenzi ni kupendana, kujaliana na kuheshimiana...hatakiwi awepo mmoja wa kuonekana anajipendekeza au anafanyiwa favour kuwepo kwenye hayo mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hawa wanaojiita wadangaji, hawatulii na mtu mmoja ukicheza wanakuvuruga, never trust a woman. Kamuulize mfalme suleiman walichomfanya pamoja na kuwa na hekima kubwa kuliko binadamu yoyote duniani
 
Fahamu zaidi aliwahi ku post ig kua tafiti zinaonyesha kua wanawake wengi wanavutiwa na wanaume wasio romantic, na huenda ni kweli maana hata mimi sijuagi kubembeleza wala kuwaabudu wanawake lakini wanaonielewa wapo wengi kana kwamba ningekua mhuni ningewabutua wengi sana
Na watu wa namna hii wana pataga mademu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ina ukweli ndani yake. Girlfriend wangu namchunia, simjali kivile, nilishamwacha mara mbili na kurudiana naye lakini yeye ndio ananipenda zaidi amekufa ameoza
Fahamu zaidi aliwahi ku post ig kua tafiti zinaonyesha kua wanawake wengi wanavutiwa na wanaume wasio romantic, na huenda ni kweli maana hata mimi sijuagi kubembeleza wala kuwaabudu wanawake lakini wanaonielewa wapo wengi kana kwamba ningekua mhuni ningewabutua wengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejichunguza tabia yangu.
Nimejiona kuwa huwa nina tabia sijui kama ni mbaya kwenu wenzangu, pamoja na umri wako huu, huwa sibembelezi mwanamke.
Naweza kumpenda mwanamke , nikamtongoza, lakini akinizingua huwa simshobokeihata kidogo, yaani hata nione demu mkali kinoma, akinizingua namuona hovyo tu.
Nawashangaaga sana wengine unakuta anamuhangaikia mwanamke kwa kumhonga pesa nyingi ili akubali, au mwanamke umemkosea kidogo unamuomba msamaha kama vile kitu cha ajabu.
Wanawake wote nawachukulia kama unstable creatures, they are trouble makers, they are only to be used for pleasure.
Kuwa nao kwa tahadhari sana, kwa sababu most womens are there for material thing, uki lost tu ukawa lofa ndo utamjua mwanamke.
Ule msemo unaosema "when povert gets in through a door, love gets out through a window".
Mwanamke ndo anasababisha wanaume kufa haraka kwenye ndoa, huyu huyu mwanamke ndo husababisha maisha kuwa magumu, kwa vile unatafuta pesa kwa ugumu, mwanamke anazitumia kiulaini bila huruma, kisa ana mbunye.

Nimeandika uzi wa kama kuwaponda baadhi ya wanawake, kwa vile sometimes hawana shukrani, umemfanyia mengi mazuri lakini bado anakufanya Mtumwa wake, unamgonga unamkojolesha lakini siku nyingine umechoka, umemgonga umekojoa wewe, anaanza kukuona nguvu umeishiwa.
Nataka nijifunze kuwa huru, yaani nijipende mwenyewe kwanza badala ya kumpenda mwanamke, hata kama ni mke wangu akigongwa huko atajijua, nachojua mimi ni kupiga bao mimi, wewe kama hujakojoa utajijua mwenyewe.
Mimi mke wangu hata akiondoka huwa simpigii simu hadi apige mwenyewe, ndo nimeamua kuwa hivyo.

Ila nawaheshimu wanawake wanaoheshimu mwanaume, mi ndo niliyeanza kuumbwa mjue.
Povu ruksa kwenu wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini kila unapoongelea jinsi unavyomdharau na kumdhalilisha mwanamke unatumia Kiingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu kina sababu inategemea na matukio yako yaliyopita na uwezo wa akili yako namna ya kikabiliana na matukio
Nimejichunguza tabia yangu.
Nimejiona kuwa huwa nina tabia sijui kama ni mbaya kwenu wenzangu, pamoja na umri wako huu, huwa sibembelezi mwanamke.
Naweza kumpenda mwanamke , nikamtongoza, lakini akinizingua huwa simshobokeihata kidogo, yaani hata nione demu mkali kinoma, akinizingua namuona hovyo tu.
Nawashangaaga sana wengine unakuta anamuhangaikia mwanamke kwa kumhonga pesa nyingi ili akubali, au mwanamke umemkosea kidogo unamuomba msamaha kama vile kitu cha ajabu.
Wanawake wote nawachukulia kama unstable creatures, they are trouble makers, they are only to be used for pleasure.
Kuwa nao kwa tahadhari sana, kwa sababu most womens are there for material thing, uki lost tu ukawa lofa ndo utamjua mwanamke.
Ule msemo unaosema "when povert gets in through a door, love gets out through a window".
Mwanamke ndo anasababisha wanaume kufa haraka kwenye ndoa, huyu huyu mwanamke ndo husababisha maisha kuwa magumu, kwa vile unatafuta pesa kwa ugumu, mwanamke anazitumia kiulaini bila huruma, kisa ana mbunye.

Nimeandika uzi wa kama kuwaponda baadhi ya wanawake, kwa vile sometimes hawana shukrani, umemfanyia mengi mazuri lakini bado anakufanya Mtumwa wake, unamgonga unamkojolesha lakini siku nyingine umechoka, umemgonga umekojoa wewe, anaanza kukuona nguvu umeishiwa.
Nataka nijifunze kuwa huru, yaani nijipende mwenyewe kwanza badala ya kumpenda mwanamke, hata kama ni mke wangu akigongwa huko atajijua, nachojua mimi ni kupiga bao mimi, wewe kama hujakojoa utajijua mwenyewe.
Mimi mke wangu hata akiondoka huwa simpigii simu hadi apige mwenyewe, ndo nimeamua kuwa hivyo.

Ila nawaheshimu wanawake wanaoheshimu mwanaume, mi ndo niliyeanza kuumbwa mjue.
Povu ruksa kwenu wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ndio uko hivyo, wanaume tupunguze tabia za kulialia, kuna midume mpaka wakati wa kupiga bao inapiga kelele yenyewe badala bidada ndie apigwe mkuyenge apige mayowe ya Utam, mnadhalilisha UANAUME mjue mxiuuuuu manina zenu. Kuweni makauzu waulizen akina Mabeste na Stamina kila wakat bebiiiii, mailavuuuu shwajn kabisa nyie.
 
Back
Top Bottom