Huwa simbembelezi mwanamke!

Huwa simbembelezi mwanamke!

Kwa mfano, unahitaji dhahabu. Utaigharamikia kwa gharama zote uipate. Ukiisha kuipata huna haja tena ya kuigharamikia.

Mwanamke anavutiwa na mwanaume ambaye hawezi kumpata, kama vile wanaume wanavyovutiwa na wanawake Classic ambao anajua hawezi kuwapata hata kama atawapata atatumia nguvu kubwa, hiyo ndiyo saikolojia ya mwanadamu upande wa mahusiano.

Mwanaume unamnyenyekea mwanamke kupita kiasi, ameshakupata huna tena mvuto kwake. Hivi mwanaume unapiga magoti kumvalisha mwanamke pete, umeshajiweka chini yake unatarajia atakuheshimu. Wakati maandiko yanaonyesha baada ya Adamu na Hawa kuasi sisi wanaume ndiyo tuliambiwa tutamtawala mwanamke.

Mwanaume mpende mwanamke, mwanamke mheshimu mwanaume. Mwanaume kuwa na misimamo yako kama mwanaume, usitetereshwe, hata mwanamke uliye naye atajua nipo na mwanaume wa aina gani, hatakuletea ujinga na hautakufa kwa presha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
genius
Kwa mfano, unahitaji dhahabu. Utaigharamikia kwa gharama zote uipate. Ukiisha kuipata huna haja tena ya kuigharamikia.

Mwanamke anavutiwa na mwanaume ambaye hawezi kumpata, kama vile wanaume wanavyovutiwa na wanawake Classic ambao anajua hawezi kuwapata hata kama atawapata atatumia nguvu kubwa, hiyo ndiyo saikolojia ya mwanadamu upande wa mahusiano.

Mwanaume unamnyenyekea mwanamke kupita kiasi, ameshakupata huna tena mvuto kwake. Hivi mwanaume unapiga magoti kumvalisha mwanamke pete, umeshajiweka chini yake unatarajia atakuheshimu. Wakati maandiko yanaonyesha baada ya Adamu na Hawa kuasi sisi wanaume ndiyo tuliambiwa tutamtawala mwanamke.

Mwanaume mpende mwanamke, mwanamke mheshimu mwanaume. Mwanaume kuwa na misimamo yako kama mwanaume, usitetereshwe, hata mwanamke uliye naye atajua nipo na mwanaume wa aina gani, hatakuletea ujinga na hautakufa kwa presha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... only to be used for pleasure...

Pathetic. Mama yako alitumika for pleasure ukazaliwa kwa bahati mbaya?
mwanaume anamuona mwanamke mmoja tuu duniani ambaye yuko sawa na ye ni mama yake mzazi ila mama yake huyo huyo kwa baba yake au ma ex wake naye anaonekana malaya na kusemwa maneno kama haya so mtu usimsemee mama yake
 
Huyu anasema tu mi kuna mtu nilikua nae kbl ya kua nae alikua rfk yangu mkubwa sana na nilishuhudia kawaliza wadada wengi tena wakali na wazuri mnoo hadi ikafika muda nikawa namwambia flani mbona unawafanyia hvy anajib achana nao mi muda wa kuendekeza mwanamke sina...mi nikawa nachukulia poa cz hayanihusu sasa bahat mbaya km sio nzuri baada ya nliekua nae kuzingua tukakulana kimasihara mi nikachukulia km ni one night stand tu mshkaj akaomba tuendelee km frnds with benefit nikakubali sabab sikua na relationship na he was good...si hapo hapo ikazaa serious relationship aisee jamaa alikua ananililia yaan mpk nikawa namuonea huruma yaan nikimzimgua kidogo anatetemeka mpk nasikia huruma nikasema kitu kimoja tu usiapie lolote just kua neutral tu na jamaa alikua good looking with everything ndio maana alivyokua anatesa wadada nilikua naona kweli anaweza kufanya vile nilipokua nae niliamini kitu kimoja tu! "Kila shetani na mmbuyu wake" maana kuna siku aliniambia kimbisa mi ht nikikukuta umecheat nadhani sitaweza kukuacha so ninachoomba ht ukizingua usinionyeshee naweza nikaua mtu
 
Back
Top Bottom