tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,072
- 16,625
Bwana Yesu apewe sifa watanganyika wenzangu!
Wakuu,
Mimi ukweli huwa siko comfortable kabisa kudate mdada kipanga zaidi yangu, mfano mimi form 4 nilipata div 1.16, form 6 nilipata 1.7 na chuo nilipata lower second so huwa naprefer zaidi kudate mtu aliyepata marks za chini yangu au zinazokaribiana.
Sasa sijui nina inferiority complex au nina maradhi gani wakuu?
Wakuu,
Mimi ukweli huwa siko comfortable kabisa kudate mdada kipanga zaidi yangu, mfano mimi form 4 nilipata div 1.16, form 6 nilipata 1.7 na chuo nilipata lower second so huwa naprefer zaidi kudate mtu aliyepata marks za chini yangu au zinazokaribiana.
Sasa sijui nina inferiority complex au nina maradhi gani wakuu?