Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,766
Hivi kwa nini wanawake wazuri asilimia kubwa huwa hawanaga akili hasa akili za kimaisha. Unakuta kabinti ni mashalah kameumbika kila sector lakini kichwani ni empty .
Huwa wanatuweka kwenye wakati mgumu waowaji ambao ndo sisi tunaotaka kujenga Tanzania imara kupitia Ndoa imara katika miundombinu Bora kabsa kuanzia ndani ya famili
Je ulishawahi kukutana na mwanamke wa hivyo. Mimi nina ushuhuda alikuwa mrembo lakini alikuwa Hana akili ya kimaisha yeye alikuwa Life style yake ni bata kuvaa na kugoogle kila dizain ya mishono ya vitenge kila muda anawaza kununua simu toleo jipya kuweka kucha bandia hata kuchemsha maji hajui lakini kwa macho ni mzuri nilishindwana nae
Huwa wanatuweka kwenye wakati mgumu waowaji ambao ndo sisi tunaotaka kujenga Tanzania imara kupitia Ndoa imara katika miundombinu Bora kabsa kuanzia ndani ya famili
Je ulishawahi kukutana na mwanamke wa hivyo. Mimi nina ushuhuda alikuwa mrembo lakini alikuwa Hana akili ya kimaisha yeye alikuwa Life style yake ni bata kuvaa na kugoogle kila dizain ya mishono ya vitenge kila muda anawaza kununua simu toleo jipya kuweka kucha bandia hata kuchemsha maji hajui lakini kwa macho ni mzuri nilishindwana nae