Huu Wimbo wa "Kuchapiwa ni SIRI ya Ndani"

Huu Wimbo wa "Kuchapiwa ni SIRI ya Ndani"

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Naomba nieleweshwe vizuri


  1. Ni kweli haya maneno walisema wazee wa zamani?
  2. Huu wimbo una maadili hasa kuimbwa na watoto?
  3. Ni kweli kuchapiwa ni SIRI ya Ndani? kivipi?
  4. Wapi mamlaka?
 
Huu wimbo kwanza mie binafsi huwa siupendi hata kwa kuuwaza tu.
Pili huu wimbo hauna maadili yeyote sema kea vile hii nchi mamlaka zote husika zipo likizo isokuwa na mwisho basi ndio maana hadi sasa bado unapata air time. Yaani kana hakuna wizara na idara zinazojihusisha na hayo mambo na kuyapangilia!
Huu wimbo upigwe ban tu na wenyewe.
Ila badala yake wanakazania magazeti yanayowafumbua watu macho.
Nasema hivi: huu wimbo upigwe ban:thumbdown:
 
Amavubi Like This
Huu wimbo kwanza mie binafsi huwa siupendi hata kwa kuuwaza tu.
Pili huu wimbo hauna maadili yeyote sema kea vile hii nchi mamlaka zote husika zipo likizo isokuwa na mwisho basi ndio maana hadi sasa bado unapata air time. Yaani kana hakuna wizara na idara zinazojihusisha na hayo mambo na kuyapangilia!
Huu wimbo upigwe ban tu na wenyewe.
Ila badala yake wanakazania magazeti yanayowafumbua watu macho.
Nasema hivi: huu wimbo upigwe ban:thumbdown:
 
Duuh,mbona unashangaza ndugu? Eti wimbo hauelewi ila unavutia kusikiliza. Utavutiwa vipi wakati huelewi chochote?
nimemjibia, unajua kwenye wimbo kuna melody, beats, etc..........
 
KABLA HUJAANZA KUPOST NA KUPONDA EBU SOMA BETI ZOTE KWA MAKINI, NASIO UNAKURUPUKA ET MAMLAKA ZIKO WAPI, INA MAANA WEWE HUTAKI WASANII WATOKE KIMAISHA,
HUU HAPA WIMBO SOMA WOTE NDO ULETE KERO YAKO, SHAME ON YOU
Introduction)
Ayaya ayaya……………..
Mmh……
(Verse One)
Nimekuwa kama Samaki kutamani nisivyoviweza
Kama ni Tanga niliapa nioe Muheza
Na kama kama Bahati mwenzenu nilishapoteza
Siku hizi ujanja ni kunywa mchuzi wa Pweza
Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
(Chorus)
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
(Verse Two)
Mmh muji musingi Kiuno ukishatendwa ndio byebye
Yamsondo mumpe Ngurumo hayo mengine hayafai
Mbona penzi limechacha nae
Wacha niguse niachane nae
Hasinigande nigombane nae
Hakuna mapenzi husibishane nae
Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
(Chorus)
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
(Bridge)
Mmh Aah
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu mama ah
Chaki chakichaki nampi nai Chaki chakichaki ficha nai
Ai ai ai ai ai ai ai ……
Chaki chakichaki nampi nai Chaki chakichaki ficha nai
Alichaaah (aah)
MAVOKO
 
Mavockooo....
Mjini msingi kiuno
Ukishatendwa ndo bye bye
Moyo wangu
Roho yangu
 
jenga hoja sasa Fabrooz....unisamehe kama msingi wa uzi umekukwaza, lakn zingatia na maoni ya wengine pia, hakuna uhuru usio nna mipaka ndugu yangu na nawaombea sana watoke lakn wakitoka huku kizazi kingine kinapotoka ni sahihi?

natamani sana kusikia hoja yako
KABLA HUJAANZA KUPOST NA KUPONDA EBU SOMA BETI ZOTE KWA MAKINI, NASIO UNAKURUPUKA ET MAMLAKA ZIKO WAPI, INA MAANA WEWE HUTAKI WASANII WATOKE KIMAISHA,
HUU HAPA WIMBO SOMA WOTE NDO ULETE KERO YAKO, SHAME ON YOU
Introduction)
Ayaya ayaya……………..
Mmh……
(Verse One)
Nimekuwa kama Samaki kutamani nisivyoviweza
Kama ni Tanga niliapa nioe Muheza
Na kama kama Bahati mwenzenu nilishapoteza
Siku hizi ujanja ni kunywa mchuzi wa Pweza
Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
(Chorus)
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
(Verse Two)
Mmh muji musingi Kiuno ukishatendwa ndio byebye
Yamsondo mumpe Ngurumo hayo mengine hayafai
Mbona penzi limechacha nae
Wacha niguse niachane nae
Hasinigande nigombane nae
Hakuna mapenzi husibishane nae
Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
(Chorus)
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
(Bridge)
Mmh Aah
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu mama ah
Chaki chakichaki nampi nai Chaki chakichaki ficha nai
Ai ai ai ai ai ai ai ……
Chaki chakichaki nampi nai Chaki chakichaki ficha nai
Alichaaah (aah)
MAVOKO
 
KABLA HUJAANZA KUPOST NA KUPONDA EBU SOMA BETI ZOTE KWA MAKINI, NASIO UNAKURUPUKA ET MAMLAKA ZIKO WAPI, INA MAANA WEWE HUTAKI WASANII WATOKE KIMAISHA,
HUU HAPA WIMBO SOMA WOTE NDO ULETE KERO YAKO, SHAME ON YOU
Introduction)
Ayaya ayaya……………..
Mmh……
(Verse One)
Nimekuwa kama Samaki kutamani nisivyoviweza
Kama ni Tanga niliapa nioe Muheza
Na kama kama Bahati mwenzenu nilishapoteza
Siku hizi ujanja ni kunywa mchuzi wa Pweza
Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
(Chorus)
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
(Verse Two)
Mmh muji musingi Kiuno ukishatendwa ndio byebye
Yamsondo mumpe Ngurumo hayo mengine hayafai
Mbona penzi limechacha nae
Wacha niguse niachane nae
Hasinigande nigombane nae
Hakuna mapenzi husibishane nae
Ai haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
Haya maneno walinena wazee wa zamani ii…..
Ukiwa Mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
(Chorus)
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
Maskini
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu
Uniachie we nenda zako
(Bridge)
Mmh Aah
Roho yangu mimi Roho yangu mimi Roho yangu mama ah
Chaki chakichaki nampi nai Chaki chakichaki ficha nai
Ai ai ai ai ai ai ai ……
Chaki chakichaki nampi nai Chaki chakichaki ficha nai
Alichaaah (aah)
MAVOKO

Hapa natumia simu so inakuwa ni ngumu sana kwangu kukupa detailed literary analysis ya huu wimbo ambao hauzi sema kuwa ipo ki-literary ila upo so literal (bears mostly surface meaning as opposed to deep meaning).
Hatukatai swala la wasanii kutoka ila je sasa wanatoka at the expense of destroying norms? Hebu rejelea ule wimbo wa wana njenje kama sikosei anaposema " fimbo spesheli, kijaruba cha babu" pamoja na symbolisms ambazo zimefanya kazi kama tafsida na vitu kama hivyo.
Maneno aliotumia yapo so shallow in meaning as opposed to just the example given.
Angalia the young up coming generation ina-gain nini out of this.
Usipende kutetea upande mmoja tu mkuu.
 
asante Prince, shida ya Fabrooz alipaste wimbo bila kujenga hoja yake na nikiusoma wimbo sioni kama unabadilisha hoja yangu
Hapa natumia simu so inakuwa ni ngumu sana kwangu kukupa detailed literary analysis ya huu wimbo ambao hauzi sema kuwa ipo ki-literary ila upo so literal (bears mostly surface meaning as opposed to deep meaning).
Hatukatai swala la wasanii kutoka ila je sasa wanatoka at the expense of destroying norms? Hebu rejelea ule wimbo wa wana njenje kama sikosei anaposema " fimbo spesheli, kijaruba cha babu" pamoja na symbolisms ambazo zimefanya kazi kama tafsida na vitu kama hivyo.
Maneno aliotumia yapo so shallow in meaning as opposed to just the example given.
Angalia the young up coming generation ina-gain nini out of this.
Usipende kutetea upande mmoja tu mkuu.
 
wimbo huu hata kuusikiliza ni kwa sauti ndogo huwezi kushabikia kuchapiwa kwamba ni siri ya ndani ingawaje mamlaka zimeshachelewa wimbo ushachuja.....Yamsondo mumpe Ngurumo hayo mengine hayafai
 
kwa dhati simjui mtunzi na sina inda naye lakn huenda akaja na tafsiri nzuri (mischief) kwani kwa maudhui ya wimbo ni very literal
 
Back
Top Bottom