Huu wimbo unanifanya mpaka nitamani kuingia mapenzini

Huu wimbo unanifanya mpaka nitamani kuingia mapenzini

Hamjambo humu ndani😉nimewamiss haki tena.

Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka.



Huu wimbo Unanifanya mpkaa nitamani kuingia mapenzini hakyanani tena❤️‍🔥

Ninampango wa kuupiga huu wimbo usiku mzima wa leo.

View attachment 2583662

Drop ngoma yako ulisiyoichoka kuisikiliza na utuambie ni kwa nini unaipenda🤸‍♀️🤸‍♀️

Ila Rama Dee anasauti ya mahaba aisee🥰🥰kama ana mafua hivi 😁kama hataki kuimba,basi tu ili mradi alete usumbufu tu🫣🫣

Leo nimeamka na YOUNG LUNYA
NIMESIKILIZA NGOMA ZAKE ZOTE ALIZO IMBA NA KUSHIRIKISHWA.....

NOW NIMEHAMIA KWA QUICK RACKA NIMESIKILIZA NYIMBO ZAKE ZOTEE....
NIKAKWAMA

BABY_QUICK RACK FT NGWEA NIMEWEKA REPEAT ONE 🔁 🕐🕐
 
Kama ni mpenzi kama mimi wa ramadeeofficial twitter....enjoy good music... "Unione" ramadee/jidejaydee.... Brand new!
Ninayotayari mkuu😊😊
Thank you..
562CB245-857E-497E-B94E-F8C62DE84237.png
 
Kama ni mpenzi kama mimi wa ramadeeofficial twitter....enjoy good music... "Unione" ramadee/jidejaydee.... Brand new!
Pia RAMA DEE_KIPENDA ROHO
Alikamua sana...
Ni Moja ya nyimbo Bora ya ramadee ya muda wote....

Una Anza ivi...

Mwanga unafanya watu waone.....

Mchunga mbuzi hanuki //
Hizi story siza Kweli mpenzi//
 
Wimbo mtamu
Yaan so [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Rama dee lyrics

Wimbo wake wa Kipenda roho,

mw-nga umefanya watuone, wakosowe ni somo tu
chombo kwenye maji lake jua yake mvua safari tu
kwenye mvua metope si ndumba oh

yasikufanye uchoke mchumba oh
wanapanga maneno kama chati za k-mi bora
kuumpima upendo ni hatari

mbele tunaona vita kipenda roho roho yangu
nishike mkono kuyapita kipenda roho roho yangu
tulishinde lengo lao lao
lengo lao lao lisitimie…

v-rs- 2
ukitazama marengo haukosei, haupotei kwenye love
wema huishi nao sweet my love, hati ya wawili kuitunza siri
mchunga mbuzi hanuki hizi story, si za kweli babe
angalau tone moja liende k-mimina penzi sitarajii

for the first time kusikia amani ndani ya maisha yangu
your my (ngo)
tusimame babe
 
Back
Top Bottom