Huu wimbo unanifanya mpaka nitamani kuingia mapenzini

Huu wimbo unanifanya mpaka nitamani kuingia mapenzini

Hamjambo humu ndani[emoji6]nimewamiss haki tena.

Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka.



Huu wimbo Unanifanya mpkaa nitamani kuingia mapenzini hakyanani tena[emoji3590]‍[emoji91]

Ninampango wa kuupiga huu wimbo usiku mzima wa leo.

View attachment 2583662

Drop ngoma yako ulisiyoichoka kuisikiliza na utuambie ni kwa nini unaipenda[emoji2222][emoji2222]

Ila Rama Dee anasauti ya mahaba aisee[emoji3059][emoji3059]kama ana mafua hivi [emoji16]kama hataki kuimba,basi tu ili mradi alete usumbufu tu🫣🫣


Hivi hawa watu wa2 watakuwa na mahusiano Jay dee na rama dee? Maana wana nyimbo zao kali sana aisee na wanaonekana wapo washkaji sana.....!!!!
 
Hii ngoma kumbe nnayo muda tu kwenye 4ne yangu sema ni muda sana Nilikuwa sijaisikiliza.....

wimbo wowote wa rama dee unaanzaje kwanza kunipita!...
Dah jamaa alishaamua kujichimbia zake australia zaidi ya miaka karibu 20 sasa...

Bongo aliona miyeyusho...huwa anakuja na kusepa...ila twitter huwa yuko live muda mwingi
Aise basi yuko vizuri

Naomba niulize hivi wanamahusiano na Jd?au ni nyimbo tu..
 
Hamjambo humu ndani😉nimewamiss haki tena.

Bhana sijui ndio nataman kuwa kwenye mapenzi ama laa🫣🫣maana huu wimbo tangu saa sita mchana mpka sasa ninaupiga na sijafikiria kuuchoka.



Huu wimbo Unanifanya mpkaa nitamani kuingia mapenzini hakyanani tena❤️‍🔥

Ninampango wa kuupiga huu wimbo usiku mzima wa leo.

View attachment 2583662

Drop ngoma yako ulisiyoichoka kuisikiliza na utuambie ni kwa nini unaipenda🤸‍♀️🤸‍♀️

Ila Rama Dee anasauti ya mahaba aisee🥰🥰kama ana mafua hivi 😁kama hataki kuimba,basi tu ili mradi alete usumbufu tu🫣🫣

Usijaribu. Kama una amani, tulia tu huko huko 😅
 
Back
Top Bottom