FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 459
- 862
This one too ( Hate how much i love you) conor maynard
Ni wifi sio shemeji.Shemej yako alizimia ghetto View attachment 2583663
Ni nyimbo gani ya Mungu huchoki kuisikiliza mkuu?Gramps-Morgan_people like you
nyimbo za Mungu hua nasikiliza kwa kumaanisha tofauti na nikisikiliza aina nyingine ya nyimbo
View attachment 2583671
Aise mwamba ana sauti nzuri kinyama…haichoshi🥰sasa hapo ni kuimba😁sijui wakati anabembeleza inakuwaje😋😋Dah! Siipatii picha hiyo ngoma itakua tamu kiasi Gani....jina la wimbo tuu....na mwamba aliepewa collabo! ...mnyaamaa wa hayo mangoma ya mapenziii....mwenye sauti ya kipekee Rama Deee....
Hii ni kama ngoma yao ya 3 pamoja ya mapenzi kama sikosei hivi...
Nahisi kuna kitu kinaendelea baina yao!...
Bado ninasubiria mdokezo mkuu.au wimbo bado haujaisha?😎....
........naendelea kuusikiliza kwa makini then ntakuja kukudokeza jambo......ila nafikiri kuna namna wimbo huu umemaanisha jambo fulani kwako, maana si kwa furaha hiyo uliyonayo.......
.........nb rama Dee na dogo Dito ni wasanii bora WA RnB ambao wako underrated sana.......
😘 umemisika
Hauwezi kuharibu maana mkuu…nimesema wimbo wowote hata singeli fresh tu🤣Daaah sijui nitahatibu mada!!
Binafsi tokea asubuhi na sikiliza wimbo huu mapaka muda !!View attachment 2583684
Hii ngoma kumbe nnayo muda tu kwenye 4ne yangu sema ni muda sana Nilikuwa sijaisikiliza.....Aise mwamba ana sauti nzuri kinyama…haichoshi🥰sasa hapo ni kuimba😁sijui wakati anabembeleza inakuwaje😋😋
Nimefurahi kukuona kwenye uzi wangu😍😍My favorite [emoji4]View attachment 2583933
Yule mchepuko wako umemuacha?Nyingine hiiView attachment 2583935