Huu utapeli manzese utaisha lini

Huu utapeli manzese utaisha lini

roggotz

Member
Joined
Oct 14, 2014
Posts
28
Reaction score
23
Hapa manzese utapeli wa waziwazi wanajifanya kuna mchezo wa bahati nasibu unachagua namba ya bahati unaposhinda unapewa pesa no wizi ambao serikali unaujua kuanzia ngazi ya wilaya mpaka ngapi wilaya wanajua kuwa wananchi wao wanaibiwa sasa inakuaje serikali inashirikiana na wahuni kuwatapeli RAIA wake. Kiukweli tumelichoka na Hawa watu vile vile pia ni la udhalilishaji maana wahanga wengi ni wanawake wanapokuwa wameliwa pesa zao wanaambiwa wacheze mziki ili warudishiwe pesa zao hucheza hapo bila mafanikio yeyote inawadhalilisha vile vile inatuletea sifa mbaya hususan sisi wakazi wa manzese
 
Wanalazimishwa kucheza huo mchezo?
Hata kama lakini serikali inayojali wananchi wake haiwez kuvumilia utapeli huu udhaifu WA viongozi WA mitaa.. Ebu imagine mzazi wako hajui hili wala lile halafu anatapeliwa.. Ifike mahali wananchi waungane kuwa piga.. Awamu hii no ujanja ujanja
 
Hapa manzese utapeli wa waziwazi wanajifanya kuna mchezo wa bahati nasibu unachagua namba ya bahati unaposhinda unapewa pesa no wizi ambao serikali unaujua kuanzia ngazi ya wilaya mpaka ngapi wilaya wanajua kuwa wananchi wao wanaibiwa sasa inakuaje serikali inashirikiana na wahuni kuwatapeli RAIA wake. Kiukweli tumelichoka na Hawa watu vile vile pia ni la udhalilishaji maana wahanga wengi ni wanawake wanapokuwa wameliwa pesa zao wanaambiwa wacheze mziki ili warudishiwe pesa zao hucheza hapo bila mafanikio yeyote inawadhalilisha vile vile inatuletea sifa mbaya hususan sisi wakazi wa manzese

UNAILALAMIKIA SERIKALI HATA KATIKA UJINGA WAKO WW WA WAPI?? Maana KUNA SEHEMU NIMESOMA WANAWAKE WANAILALAMIKIA SERIKALI HAIWATAFUTII WAUME WA KUWAOA ACHENI KUKALAMA KILA JAMBO HATA KATIKA JAMBO LINALOSABABISHWA NA UZEMBE NA TAMAA ZA KUJIPATIA KIPATOTO KIKUBWA KWA NJIA YA MKATO
 
Hapa manzese utapeli wa waziwazi wanajifanya kuna mchezo wa bahati nasibu unachagua namba ya bahati unaposhinda unapewa pesa no wizi ambao serikali unaujua kuanzia ngazi ya wilaya mpaka ngapi wilaya wanajua kuwa wananchi wao wanaibiwa sasa inakuaje serikali inashirikiana na wahuni kuwatapeli RAIA wake. Kiukweli tumelichoka na Hawa watu vile vile pia ni la udhalilishaji maana wahanga wengi ni wanawake wanapokuwa wameliwa pesa zao wanaambiwa wacheze mziki ili warudishiwe pesa zao hucheza hapo bila mafanikio yeyote inawadhalilisha vile vile inatuletea sifa mbaya hususan sisi wakazi wa manzese
Pole bado unafanya hiyokitu. Yaani mie nikiwaona huwa nawaangalia tu na kusepa. Sipendagi ujinga kabisaa
 
Wanapenda faida za mkato who told you is possible that game, why should them be there, we would be following them in very expensive place if so
 
Wakati mwingine tunazialaumu bure mamlaka ila makosa hasa ni yasie raia,mfano Kariakoo mtaa wa Msimbazi kila uchwao watu wanauziwa vipande vya sabuni nakuaminishwa kwamba ni simu...yaani mtu hatua 10 mbele pana maduka ya simu but anasimamishwa na teja anaonyeshwa simu anatajiwa bei rahisi basi akili yote inamvurugika dukani hendi anampa teja 120,000/=hatua 20 mbele anafungua akikutana na pande la sabuni ananza kusumbua kuuliza police post ilipo.ni kutokutumia akili mtu watu huwajui,unatoka ulikotoka na Tsh10,000/= unataka iwe 100,000/= kwa kazi gani uloyofanya?na wakishapigwa sio kwamba hawawaambii wenzao,wanawaambia sana ila kwa tamaa zao wnafanya yale yale walioshafanyiwa wenzao.
 
UNAILALAMIKIA SERIKALI HATA KATIKA UJINGA WAKO WW WA WAPI?? Maana KUNA SEHEMU NIMESOMA WANAWAKE WANAILALAMIKIA SERIKALI HAIWATAFUTII WAUME WA KUWAOA ACHENI KUKALAMA KILA JAMBO HATA KATIKA JAMBO LINALOSABABISHWA NA UZEMBE NA TAMAA ZA KUJIPATIA KIPATOTO KIKUBWA KWA NJIA YA MKATO
serikali inatakiwa kulinda raia wake hata kama ni wajinga. pyramid schemes ni hiyari ila serikali imezuia ili kulinda raia. kwenda kwa maloan shark ni hiari ila serikali iazuia hizo mambo ili kulinda raia.
 
Hauwezi kukomeshwa huo mchezo kwa sababu wajinga hawaishi hata siku moja. Na ikifikia ujinga umekwisha kabisa hata wale manabii mabilionea hawatapata mteja hata mmoja.
 
Hauwezi kukomeshwa huo mchezo kwa sababu wajinga hawaishi hata siku moja. Na ikifikia ujinga umekwisha kabisa hata wale manabii mabilionea hawatapata mteja hata mmoja.
Hiyo ni biashara haramu ni kosa la jinai kuchezesha. Jamhuri ina wajibu wa kuwalinda wajinga pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom