Huu Upuuzi ulioota Mizizi Serikalini miaka karibia 25 sasa ndiyo mnaushtukia leo? Acheni Unafiki na hadaa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,694
109,128
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Patrobas Katambi amesema mmomonyoko wa maadili ni mkubwa na shida kubwa ipo kwa watoto wa viongozi, ambao hata nafasi za ajira zinapotoka hawataki kushindana wengine bali wanaziomba nafasi hizo kwa barua ya maelekezo ‘memo’.

Taarifa: MWANANCHI. Online

Tena huko UWT, JWTZ, PT, UT, Wizarani na katika Mashirika ya Umma (hasa Bandari na Tanesco) ndiyo Kunaongoza.

Hili ni BOMU kubwa la huko baadae.
 
Ngoja nitulie ntaelezea kilichonikuta Nida kawe wale wadada mmoja kama mpemba hivi na mwenzake mweupe mnene wa idara ya usajili na kurekebisha makosa ,wale sio dharau wana kufuru kwa wananchi ukienda hapo unaweza kulia kwa uchungu walivyo na kebehi,matusi,jazba ,lakini hii yote inatokana na kufanya kazi kwa mazoea,kujuana, na connection ?
 
CCM buana...

Kwamba anajifanya ndio anajua leo...

Wao wenyewe wapo kwenye ubunge pengine kwa sababu ya rushwa au minyukano ndani ya vyama vyao...
 
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Patrobas Katambi amesema mmomonyoko wa maadili ni mkubwa na shida kubwa ipo kwa watoto wa viongozi, ambao hata nafasi za ajira zinapotoka hawataki kushindana wengine bali wanaziomba nafasi hizo kwa barua ya maelekezo ‘memo’.

Taarifa: MWANANCHI. Online

Tena huko UWT, JWTZ, PT, UT, Wizarani na katika Mashirika ya Umma (hasa Bandari na Tanesco) ndiyo Kunaongoza.

Hili ni BOMU kubwa la huko baadae.
Watu wakisha amka itakuwa rahisi sana kuwamaliza....hata BOT
 
Ngoja nitulie ntaelezea kilichonikuta Nida kawe wale wadada mmoja kama mpemba hivi na mwenzake mweupe mnene wa idara ya usajili na kurekebisha makosa ,wale sio dharau wana kufuru kwa wananchi ukienda hapo unaweza kulia kwa uchungu walivyo na kebehi,matusi,jazba ,lakini hii yote inatokana na kufanya kazi kwa mazoea,kujuana, na connection ?
Kuna mtu anawatia kichwa mkuundugu🙂
 
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Patrobas Katambi amesema mmomonyoko wa maadili ni mkubwa na shida kubwa ipo kwa watoto wa viongozi, ambao hata nafasi za ajira zinapotoka hawataki kushindana wengine bali wanaziomba nafasi hizo kwa barua ya maelekezo ‘memo’.

Taarifa: MWANANCHI. Online

Tena huko UWT, JWTZ, PT, UT, Wizarani na katika Mashirika ya Umma (hasa Bandari na Tanesco) ndiyo Kunaongoza.

Hili ni BOMU kubwa la huko baadae.
Viongozi wazuri wameachwa wanachukuana kwa kujuana. Hii hali hata kwenye shule. Mwalimu mkuu na mkuu wa shule kwa kujuana.
 
Back
Top Bottom