Huu ukimya kujadili baraza jipya WhatsApp kulikoni?

Habari kuu jioni ya leo ni Baraza jipya, nipo group kama 10 hivi wosap, ajabu watu wame mute wapo kimya hawapo busy kujadili lolote! Hata hivyo miaka ya hivi karibuni wemepunguza ama kujitoa.Nipeni uzoefu kwenu huko.
ukitaka kujadili siasa serious, njoo jukwaa la siasa jf ukutane na wabobezi wana bodi kina erthrocyte,buji,BAK,pascal,john,na akina magema jr
 
Huyu Naibu Waziri Tamisemi DK Festo John Lugange Ni wa wapi. Ni yule aliyekuwa DMO kinondoni then RMO Simiyu, Ni mbunge mpya wa Wang'ing'ombe sijui ndiyo huyo au nimefananisha majina.
 
Mimi sijui hata nianzie wapi, maana wote hao waliopata uwaziri / unaibu waziri na waliotemwa hata siwajui kiundani.
 
Huyo Kingwangala simjui mkuu.Shida yangu ni kutofuatilia mishe za wanasiasa wa bongo kwa sababu naona kama wananipotezea muda tuu.
 
Ila wa Baraza jipya utawajua tu.
Hasa wale wapya. Ni majembe
Ngoja mkuu nione utendaji wao, ndiyo nitawafuatilia na kuwajua.Nawapa siku 100 wanioneshe ujembe wao.Vinginevyo nitarudi kule kule nilikokuwa (kuwapotezea na kuendelea na 50 zangu).
 
Dogo alianza uwaziri kishamba sana. Mnakumbuka kipindi Ni waziri mdogo wa afya alishawahi kufunga geti ili waliochelewa wausiingie ofisini. Katika akili yake hajui kwamba Kuna wamama Wana watoto na lazima nyumbani aweke mazingira mazuri ndio aondoke wakati anakaa matosa kusiko na usafiri.

Mnakumbuka alivyowapigisha push up wazee wa watu wenye wajukuu. Tena hadharani mbele ya vyombo vya habari. The guy is just too primitive.
Lakn kutoka pale ndipo alipanda juu zaidi, may be alitakiwa kufanya zaidi ya pale ili asipigwe chini. Mm nafkiri kujiexpose zaidi mitandaoni imemcost, ishu ya moo na mambo ya kujipost akiwa kwa waganga anajifukizia to me was worst
 
sasa hao mawaziri ambao wako remotely controlled nani awajadili

tz hamna corona
 
Nawapenda sana shemeji zangu wanyamwezi maana wamenipa jiko la nguvu. Pisi Kali kweli kweli. Ila nadhani HK sio mnyamwezi. Hana Ile busara ya kinyamwezi. Nadhani ana DNA za Burundi. Mnyamwezi piwa hawezi kua hivi.
HK siyo mnyamwezi, ni ngosha. Watu wengi wanafikiri watu wote wa Tabora ni wanyamwezi. Wanyamwezi kwa Mkoa wa tabora ni chini ya 50%, wengi ni wasukuma ambao wamejaa igunga, nzega, uyui, kaliua na baadhi ya maeneo ya Urambo na sikonge(hasa maporini). Wanyamwezi wapo tabora mjini, uyui, sikonge na Urambo tu.
 
Hahaha hoja zinazojadiliwa ni nje ya matarajio ya mleta hoja.

Anataka mjadili kwanini magroup ya whatsapp hayajadili baraza jipya.

Hajasema mjadili baraza jipya, kwanini hamuelewi kiasi hiki?!

Hata rudini kwenye mada ya mleta uzi sasa.
 
Lakn kutoka pale ndipo alipanda juu zaidi, may be alitakiwa kufanya zaidi ya pale ili asipigwe chini. Mm nafkiri kujiexpose zaidi mitandaoni imemcost, ishu ya moo na mambo ya kujipost akiwa kwa waganga anajifukizia to me was worst
Sijui bado anampango na yule mkuu wa wilaya aliyemuumbua?
 
HK siyo mnyamwezi, ni ngosha. Watu wengi wanafikiri watu wote wa Tabora ni wanyamwezi. Wanyamwezi kwa Mkoa wa tabora ni chini ya 50%, wengi ni wasukuma ambao wamejaa igunga, nzega, uyui, kaliua na baadhi ya maeneo ya Urambo na sikonge(hasa maporini). Wanyamwezi wapo tabora mjini, uyui, sikonge na Urambo tu.
Afadhali sio mnyamwezi. Nilishaanza kumchukia wife
 
Back
Top Bottom