Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo
Niliipenda sanaaa. Hata jambazi akiona hiyo kwata,anakunja mkia kabla ya kufikiwa. Tumepata jembe. Niko pembezoni huku Lake Tanganyika,watu walipoona vile walishangilia kinoma. Hakika jeshi letu la Polisi limepata mwenyewe! Bravo!
 
Walienda JKT kwa miaka miwili wakaenda CCP wakafundishwa mbinu na nidhamu ila siasa za chama cha hatamu kimewaharibu watendaji wengi wa nchi yangu.

Rest in advance Joyce Ndalichako.
Acha ujinga. Wamejiharibu wenyewe. Chama chochote cha siasa na chenye wafuasi wengi kama hiki kina sera nzuri za kuliendeleza taifa na watu wake. Na ndio maana kinapata wafuasi wengi na mpaka wanaamua kukiweka madarakani. Tatizo ni ukengeukaji wa mtu binafsi kwa sababu ya ubinafsi na tamaa ya fedha. Tumia akili yako kamanda kufikiri..unaiacha wapi.ndio maana unakuta kulikuwa na mafisadi papa na wengi wengi kama yule mzee na kundi lake. Hao sasa wameshajitumbua wenyewe wameenda eti upinzani. Kwa hiyo kwa sasa chama kikubwa cha upinzani kimegeuka na kuwa chama cha mafisadi na kutetea ufisadi.. hivi tutafika kweli
 
Acha ujinga. Wamejiharibu wenyewe. Chama chochote cha siasa na chenye wafuasi wengi kama hiki kina sera nzuri za kuliendeleza taifa na watu wake. Na ndio maana kinapata wafuasi wengi na mpaka wanaamua kukiweka madarakani. Tatizo ni ukengeukaji wa mtu binafsi kwa sababu ya ubinafsi na tamaa ya fedha. Tumia akili yako kamanda kufikiri..unaiacha wapi.ndio maana unakuta kulikuwa na mafisadi papa na wengi wengi kama yule mzee na kundi lake. Hao sasa wameshajitumbua wenyewe wameenda eti upinzani. Kwa hiyo kwa sasa chama kikubwa cha upinzani kimegeuka na kuwa chama cha mafisadi na kutetea ufisadi.. hivi tutafika kweli
Mkuu hapo umenena vyema nadhani mwenye akili ya kutambua mambo atakuwa amekuelewa vizuri hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo
 

Attachments

Niliipenda sanaaa. Hata jambazi akiona hiyo kwata,anakunja mkia kabla ya kufikiwa. Tumepata jembe. Niko pembezoni huku Lake Tanganyika,watu walipoona vile walishangilia kinoma. Hakika jeshi letu la Polisi limepata mwenyewe! Bravo!
Wewe na wote mlioshangilia ni ma bwege
 
Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo

Sijapata hiyo ya ukakamavu wa IGP, ila hii inaweza kusaidia kuona matunda ya huo ukakamavu huko jijini Mwanza.

 
Back
Top Bottom